Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,933
- 10,557
Hahahahaha yaani wewe kwa akili zako za kuchezea bao unafikiri nyie ndio mna viwanda vya bia darisalaam tu halafu mikoani havipo?
Akili za kuchezea bao ni nzuri kuliko za kuchungia ng'ombeHahahahaha yaani wewe kwa akili zako za kuchezea bao unafikiri nyie ndio mna viwanda vya bia darisalaam tu halafu mikoani havipo?
Tunapapenda huko Uswaz sababu ni kuzuri na mafuriko yanasaidia kupunguza JotoTandale kwa tumbo mbagala mbona uswahilini kwenye mafuriko kila mwaka mataputapu yapo ya kutosha mnabwia unga mmekuwa nyoka halafu nyie wanaume wa dar wachoyo sana
Karibuni Mabibo BeachSasa wewe Bitoz hapo darisalaam unakaa pande zipi jmosi naleta mifugo nataka nikuletee jogoo la mkoani sio kila siku unakula mikuku ya kubumba ndio maana una tumbo kama chura siku dada zenu hatuwataki wana vitambi kama kaka zao
Jipe moyo ....washamba na waporiporipori km nyie level yenu hausigelo
Unafananishaje embe dodo na boribo.....Shimo c ile ile,na ungejua house girl walivyo watamu waulize akina baba wanaowaacha wake zao na kuvamia beki tatu ndani ya nyumba