Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Hahaaaaaa atanitembeza tu kisha nirufi home. Najua dar kugumu
Anapiga mizinga huyo kuna siku kanivizia mnadani analia njaa oooh mzee niache hata na 10000 nikamwambia twende pori ukachunge mbuzi alilalamika sana mzee mimi hata bata sijawahi chunga nitaweza kweli
 
Anapiga mizinga huyo kuna siku kanivizia mnadani analia njaa oooh mzee niache hata na 10000 nikamwambia twende pori ukachunge mbuzi alilalamika sana mzee mimi hata bata sijawahi chunga nitaweza kweli
Wewe si pedeshee mchunga ng'ombe sasa huyo Da Vinci nitaanzaje kumpiga mzinga wakati humu Jf ameanzisha uzi kuomba ajira ?
 
Wewe si pefedhee mchunga ng'ombe sasa huyo Da Vinci nitaanzaje kumpiga mzinga wakati humu Jf ameanzisha uzi kuomba ajira ?
Nina mitumbwi ya kuvua samaki na dagaa vipi njoo nikuajiri uwe kuli utaweza
 
Back
Top Bottom