Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,935
- 10,559
Anapiga mizinga huyo kuna siku kanivizia mnadani analia njaa oooh mzee niache hata na 10000 nikamwambia twende pori ukachunge mbuzi alilalamika sana mzee mimi hata bata sijawahi chunga nitaweza kweliHahaaaaaa atanitembeza tu kisha nirufi home. Najua dar kugumu