Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Anapiga mizinga huyo kuna siku kanivizia mnadani analia njaa oooh mzee niache hata na 10000 nikamwambia twende pori ukachunge mbuzi alilalamika sana mzee mimi hata bata sijawahi chunga nitaweza kweli
Hawezi nifanya chochote maana nikiondoka hua naaga wazee wangu...
 
Kijana wa eapi yule yaani kawaaibisha waporipori anadai katoka mkoa halafu kaja Dar anapiga mzinga hadi wa kupewa mapazia duh yaani hata wabaume wa Dar hawafanyi hivi
Jana kaumbuka humu alikua anawatukana hadi waliompa msaada
 
Kijana wa eapi yule yaani kawaaibisha waporipori anadai katoka mkoa halafu kaja Dar anapiga mzinga hadi wa kupewa mapazia duh yaani hata wabaume wa Dar hawafanyi hivi
Wewe una uhakika
 
Hawezi nifanya chochote maana nikiondoka hua naaga wazee wangu...
Acha uwoga hayo ni mambo ya waporipori tu
IMG_20180729_232207.jpeg
Unamwona ndugu yake King kashikwa kwa uchawi huko Usukumani
 
Back
Top Bottom