Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Bitoz upo kweli jumatatu lazima nikuletee msaada nasikia ile bomoa bomoa ya kupisha ujenzi wa SGR walipitia banda lako la kuishi nasikia unashi kwenye makorido ya watu
 
5db00d2611ebd880e9d03c6f37278972.jpg
8bbe8088bdc81e5b17eb172e20e6cbfc.jpg
9d0c2232c0dacc715f90cc05e7bc1228.jpg
b6c53d4187628d5b11e83f0e4da113e8.jpg
d0ebee3b3a1c1ecb9ea08a53c84c0d32.jpg
83d3e33fb5bac3eea3fdec1ed95db7d9.jpg

Wacheki Joto City girlz

Mabushstar endeleeni kukaa maporini na kutambia kilimo + kutuita wanaume wa Dar 7bu kwenu hakuna vitu vizuri......
Mkachunge ng'ombe na kupalilia mipapai!!!

NB
Thread ipo kiutani zaidi
Madem Wenu Kila Kitu Fake Kuanzia Nywele Kucha Ngozi Papuchi Hata Sauti Vyote Fake Huku Kijijini Vitu Natural Aisee.
 
Bitoz upo kweli jumatatu lazima nikuletee msaada nasikia ile bomoa bomoa ya kupisha ujenzi wa SGR walipitia banda lako la kuishi nasikia unashi kwenye makorido ya watu
Nilitoweka mzee
Vipi bado unachunga ng'ombe huko porini kwenu ?
 
Fly over hazijakuacha salama....
IMG_20180817_110608.jpeg
FB_IMG_15344931164661012.jpeg

Hivi hao waporipori vitu kama hivi wataviona wapi ?
Nafikiri siku wakija Joto City na kuona flyover watataka wazindue kwa kupitisha ng'ombe zao hapo

Nakumbuka nilipita daraja la Magufuli/Kilombero nikawakuta wanashindana kupitisha mifugo
 
Safi sana nilikuweko huko kwenu nikasema nikutafute nikaambiwa ulikimbia zoezi la mkuu wa mkoa la kupimwa tezi dume
Acha hizo mzee nilienda bush sasa si unajua hata umeme mbinde hivyo smartphone ikakosa kazi ....nikajiuliza hawa waporipori wanawezaje kuishi aisha ya kibundibundi ?

Lile zoezi lilikuwa kiki tu ya yule Ndombolo wa pake Ilala Boma !!!
 
Acha hizo mzee nilienda bush sasa si unajua hata umeme mbinde hivyo smartphone ikakosa kazi ....nikajiuliza hawa waporipori wanawezaje kuishi aisha ya kibundibundi ?

Lile zoezi lilikuwa kiki tu ya yule Ndombolo wa pake Ilala Boma !!!
Hebu kwanza tuulizane ulikuwa wapi kijana siku zote hizo
 
Back
Top Bottom