Atakua tapeli tapeli tu huyu kuvizia vijana wa mabibo hostelNina mashaka kama anaweza maana ni kijana mjanja mjanja hivi huwa anaishi kwa kupiga mizinga
Kijana wa dar analimeje? Hata kumeza ugali bila kutafuna hawezi..Acheni uzoba
Mjini haoa alime nani
Hahahahahaha una kumbukumbu nzuri ila unakumbuka pale ulipolazimisha kuosha gari la kubebea mifugo nikupe hata bukuIle 10,000/= uliyonipa nilipokupokea pale Ubungo wakati unashangaashangaa nikakuelekeza jinsi ya kupanda mwendokasi bado inakuuma ?
Wewe unajulikana huna pesa ya kuwahonga masista duuPake hosteli naendaga kuchukua masistaduu tu
Huwa nabeba begi najifanya nasoma engineering pale Coet km injinia wetu uchwara wa Jf
Aiseee tupange dili tutengeneze pesa maisha haya mkuu.Tena ID yako tayari ni brand zaidi ya Rainyundo utawapata sana mzee kiasi hutorudia tena kuomba ajira humu
Unaenda kuwatembezea mayai ya bata..Pake hosteli naendaga kuchukua masistaduu tu
Huwa nabeba begi najifanya nasoma engineering pale Coet km injinia wetu uchwara wa Jf
Huwezi kupanga dili na huyo ni muoga balaa kuna siku mende kaingia kwenye gari alilokuwa ameazima ilibidi akatoe taarifa polisiAiseee tupange dili tutengeneze pesa maisha haya mkuu.
Hahaaaa hamia kwenye kuku mkuu nasikia wanalipa mnoBata nilishaacha kufuga zamani mkuu
Huku town wanakunyakunya tu na kuchsfua sakafu
Hahaaaaaaa mwambie aje hapa maeneo yako Victoria palace hotel atanikutaView attachment 839329Huyu mkeo uliyemkimbia kijijini abakutafuta
Leo umemuotea nani wa kukupa ofa?Nafuga kwa nsimu tu ndio ujanjaView attachment 839342Now napiga tu vitu hadi mifuko ikauke
Ooppppssss aisee hongera japo kwangu hivi vitu ni sumu kabisa..ila mbona glass ndogo ivooooNafuga kwa nsimu tu ndio ujanjaView attachment 839342Now napiga tu vitu hadi mifuko ikauke