Kuna boya kalizwa vichochoroniLeo umemuotea nani wa kukupa ofa?
Hahahahahaha atakuwa ni mwanaume wa Dar mwenzieKuna boya kalizwa vichochoroni
Mwambie huyo anatayetamani tuishi kama mashetani hatofanikiwa atamaliza muda wake atatuacha tunadunda kama kawaida kama haamini amuulize mwenzie BwmAcha wivu mzee usiwe km Rais wetu anayetamani kila mtu aishi km shetani
Hii ni week end halafu huku ni town hstunywi mataputapu
Huko chato wanaishi wasubi hakuna msukuma anayefuga pundaHivi huko Usukumsni kuna hotel kweli su mikwara tu maana pale Chato kuna traffic light lskini hakuna magari hivyo wanavuka punda na ng'ombe tu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umejuaje mzee baba nipo kavu hadi buku naiona tenInaonekana hamna pesa muda huu
Nawashauri kesho mnitumie kuku na bata mzinga nina 100k cash oli iwasaidie week end
Wahamiaji haoIla pia wapo
DAAH MKUUEndelea kukaa hukhukoporini !!
Hahahahahaha leo unajua kunichekesha njoo hapa upate kitu CAPTAIN MORGAN ukalale vizuriWe mporipori punguza jeuri hakuna mhamiaji wala mwenyeji duniani
Haya kapige msasa ubongo bossSawa mkuu hapa tukutane kesho maana nazama Juwaa la intelejensia kuflash ubongo
Hahaaaaaaa mwambie aje hapa maeneo yako Victoria palace hotel atanikuta

Nimerudi vipi una hali ganiUnamcheka mke wa King
![]()
![]()
![]()
![]()