Si punda. Ni pundamiliapunda ana shape nzur
Hatutaki mifugo yenu michafu labda muiogeshe na kuivalisha boxer isichafue mazingiraBado nakusanya mifugo ya kuwaletea huko jijini kwenu ili kuwanusuru na wale kuku waliofia kwenye mabanda ya wafugaji wa dar na ile mishikaki ya mbwa waliogongwa na magari nataka nikuletee kitu jogoo geniun siyo unakula broiler matokeo yake vitambi kama ndoo sawa Bitoz nyangema?

Umesahau supu ya pweza
Mna majungu

kama uamini nenda hotel yyte pale Dsm, km upo Dr lkn ,,angalia supu wanayokunywa for now,,Nini ubongo washushe popote cc ndo wanaume wa arushaha ha haaah!, naona match ni kati ya "DAR Vs MIKOANI". Ha ha haaah!, wamikoani siku mabasi yakigoma kuwashushia ubungo ujue wote watapotea njia, ha ha haaaa aaaaah!. Mi simo kwenye ugomvi aisee!
Cyo wote mmkuu wengine tunajielewa vitu ka cmu ni vitu vya kawaida sana na cyo wote wa mikoani niwakulima ama wafugaji ila cyo mbaya ni mtazamo wakoMmelianzisha halafu mnasema mnasimangwa!!!
Gomeni kuleta mazao yenu sisi tuntaagiza nchi za nje tuna mapene wala hatulimi....
Wamikoani wahafu km mifugo yenu....
Eti tunajadili kina Diamond, nyie ambao hamjawahi ht kuona shoo yKe live au mnacheki TV zenu za chogo mtajua ht Harmonize?
Eti tunaazima magali, mbona mnaazima baiskeli huko kwenu
Nyinyi mnamiliki NOKIA ZA TOCHI selfie labda mpige kwa site mirror za bodaboda tu
NB:
MAasimango yakizidi gomeni kulima ili mfe njaa!!