Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Cyo wote mmkuu wengine tunajielewa vitu ka cmu ni vitu vya kawaida sana na cyo wote wa mikoani niwakulima ama wafugaji ila cyo mbaya ni mtazamo wako
Umeelewa kilichoandikwa?........lengo la thread utani tu km unahitaji serious issues nenda Jukwaa la siasa
 
A town ngumu mwanzo mwisho
1471331283289.jpg
 
Naona waporini wanatafuta kick na wa mjin mnaangaika na hawa wanuka shombo mtajifunza nn kwao?
 
Dar ndio TZ kama hujui kila mtu ndoto take ni kuja mjini na kwasasa hatutaki mtu mjini kaeni huko msiojua hata kuoga
 
Tatizo lao kubwa na % kubwa sana ya wanawake wa Dar na Mijini kwa jumla weng ni Fake, unakuta..
Nywele za bandia,
Kope za macho bandia,
Ngozi full mkorogo, mzungu si mzungu mchina si mchina yaan n Fake,
Makalio full adjuste Fake,
Ipsi full machemical Fake,
No kope n full wanja Fake,
Endelea tu kuvizia watoto wachafu wa wakulima na wafugaji wanaonuka maziwa
 
Nyote akili zenu zinaendea matakoni, kichwa ni wanawake wa dar, mabishano naona wanaume
 
Kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa dar labda uwaambie vueni nguo uwakague mwanaume hana hata ndevu halafu kajikoboa anarembua kama dada zake kazi mnayo
 
Huku mikoani ukionekana una element zisizoeleweka tunakutoa nduki ukaungane kina Bitoz darsalaam huko ndio wajinga wengi walipo
 
Kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa dar labda uwaambie vueni nguo uwakague mwanaume hana hata ndevu halafu kajikoboa anarembua kama dada zake kazi mnayo
Napendaga matani ila hili angelisema mwanaume wa dar ikanihusu mimi wa mikoani haki ya Mungu ningemska kwa udi ngorowilaaaa.

Lakini kwa kuwa ndio zao na hawana nguvu basi wasiwe na hasira
 
Huku mikoani ukionekana una element zisizoeleweka tunakutoa nduki ukaungane kina Bitoz darsalaam huko ndio wajinga wengi walipo
1471429142484.jpg

We Mporipori bado unatembea na vidada vichafu vya porini
Njoo mjini
 
Sasa hao wavaa uchi wa nini sasa hao ndio wanasababisha mnasombwa na mafuriko sawa Bitoz
 
Sasa hao wavaa uchi wa nini sasa hao ndio wanasababisha mnasombwa na mafuriko sawa Bitoz
Hata Kilosa kwenu kwenye mafuriko ya kufa mtu ni DSM?

Halafu akili zako za ng'ombe unafikiri kila sehemu ya mwili ni uchi
 
Sasa wewe Bitoz kwa akili yako fupi kama kamba za kiatu unafikiri kwanini watu wenye tabia mbovu wamejazana dar
 
Back
Top Bottom