Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Wewe bitoz acha fikra za kindezi kuna mwanamke anaitwa King?
Punguza upapai nilisema "anahisi" na sio "nahisi"
Sawa Mporipori ?
Kwanza KING kinaweza kuwa kidupisho cha KINGASTI
 
Wewe Bitoz kumbe ni nzubadii namna hiyo king ni jina la ukoo kenge mkubwa wewe umevimbiwa chips na supu ya pweza unakuja kuhororoja hapa mimi ni dume tuheshimiane
 
Wewe Bitoz kumbe ni nzubadii namna hiyo king ni jina la ukoo kenge mkubwa wewe umevimbiwa chips na supu ya pweza unakuja kuhororoja hapa mimi ni dume tuheshimiane
Mporipori punguza mori usije choma kibanda chako cha nyasi
 
Mungu kaibariki Mikumi!
1470832360112.jpg
 
Wewe unaishi hapo bonde la msimbazi kwenye nyumba zimeezekwa kwa madebe yakija mafuriko mnahaha pakulala naishi mtaa ambao hata mvua zinyeshe mwezi mzima hakuna mafuriko sasa wewe na yule big mama wako mnaishi kwa kuvizia
 
Wewe unaishi hapo bonde la msimbazi kwenye nyumba zimeezekwa kwa madebe yakija mafuriko mnahaha pakulala naishi mtaa ambao hata mvua zinyeshe mwezi mzima hakuna mafuriko sasa wewe na yule big mama wako mnaishi kwa kuvizia
Mjini ni mjini tu......endeleza kilimo huko porini acha majungu
 
battle za kijinga hizi
acheni kufananisha wanaume wa mikoani na mambo ya kipumbavu (joke)..
 
battle za kijinga hizi
acheni kufananisha wanaume wa mikoani na mambo ya kipumbavu (joke)..
Km ni ujinga si uwaachie wajinga...we nenda Jukwaa la Polifix hujalazimishwa kuja kubishana/kutaniana
 
Kweli mjini ni mjini tu hata ukiwa unasombwa na mafuriko uimbe huo Wimbo sawa Bitoz nyangema?
 
Back
Top Bottom