Kweli mkuu...wakazane na kilimo na kulisha mifugo sio kupiga mikelele tu wkt huko kwao midemu michafu.....View attachment 333132 usiwaoneee donge warembo wa Dar...
ha ha haaah!, naona match ni kati ya "DAR Vs MIKOANI". Ha ha haaah!, wamikoani siku mabasi yakigoma kuwashushia ubungo ujue wote watapotea njia, ha ha haaaa aaaaah!. Mi simo kwenye ugomvi aisee!Wamelianzisha wao wa "mikoani" subiri tuone battle za uhakika humu jf
Wajipange
ha ha haaah!, naona match ni kati ya "DAR Vs MIKOANI". Ha ha haaah!, wamikoani siku mabasi yakigoma kuwashushia ubungo ujue wote watapotea njia, ha ha haaaa aaaaah!. Mi simo kwenye ugomvi aisee!
Aisee!, kweli kabisa. Akija kukutembelea Dar hasemi atarudi lini utakuta miaka inakatika na hana dalili ya kurudi mkoani! ha haa haaaa!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na siku mifugo yao ikifa kwa njaa na mazao kukauka kwa ukame utawaona wanapanda malori kuja Dar kupiga mizinga.....
Makofi tafadhali
Ila hapa wanajifanya vidume sababu wamezoea kulalia mikeka huko kwao na kushinda vilabu vya mataputapu(yananuka km mavi ya sokwe)Aisee!, kweli kabisa. Akija kukutembelea Dar hasemi atarudi lini utakuta miaka inakatika na hana dalili ya kurudi mkoani! ha haa haaaa!

Mmelianzisha halafu mnasema mnasimangwa!!!Wanaume wa Dar hawajui mambo ya shambani lakini kila siku wanategemea malori yashushe mazao pale Kariakoo. Sasa endeleeni kutusimanga sisi wa mikoani halafu tukache kupakia malori yanayokuja Dar badala yake tupeleke nchi za nje. Wanaume wa Dar kazi yenu ni kujadiliana DNA ya Tiffah na mimba ya Wema Sepetu. Endeleeni tu na mtindo wenu wa kujichubua halafu mnasingizia mnakunywa maji ya chupa kumbe ni chupa zenye krimu. Mnajidai wajanja kumbe mnapaki magari yenu CCM halafu wakati wa uchaguzi mnajifanya mnashabikia UKAWA. Wanaume wa Dar mnaweza tu kupiga picha kwenye mahoteli na kumbi za starehe huku hewa ikiwa chafu ya kunyang'anyana. Mnaazimana tu magari ili mkakuwadie wake za watu.
Harmonize ndo nani kwani?Mmelianzisha halafu mnasema mnasimangwa!!!
Gomeni kuleta mazao yenu sisi tuntaagiza nchi za nje tuna mapene wala hatulimi....
Wamikoani wahafu km mifugo yenu....
Eti tunajadili kina Diamond, nyie ambao hamjawahi ht kuona shoo yKe live au mnacheki TV zenu za chogo mtajua ht Harmonize?
Eti tunaazima magali, mbona mnaazima baiskeli huko kwenu
Nyinyi mnamiliki NOKIA ZA TOCHI selfie labda mpige kwa site mirror za bodaboda tu
NB:
MAasimango yakizidi gomeni kulima ili mfe njaa!!
Uyo simjui naye ni mwanaume wa Dar?Kalale kijana uwahi shamba asubuhi.......hayo tuachie sisi