Punguza kelele we ng'ombe mimi nina dili zangu town tena nahitaji shambaboi nimpe kazi kazi ya mutunza bustani ya nyumbaAcha uboya wewe umeshindwa kutafuta pesa kwa jasho lako umeamua kujiwekesha kwa sugar Mummy hapo kisa pesa za wanaume wenzako utakuja kupakatwa

Inaonekana unapenda chipsi ndo maana huchoki kuzitajatajaHiyo material ya kichina mimi siwezi kutumia vitu fake halafu umesikia zile shule zenu za kule ilala watoto wenu wa kiume wanageuzana kinyumenyume sababu mnawalisha urojo na chips watoto wamelegea wanapakuana wao wenyewe

Ndio yeye punda siyo chura huyo?Ni punda?
Huo ni mtazamo wakowengi mnaoona Dar ni kwa maana sana mmekuja kwa ajili ya shule tena level ya chuo mkapata vikazi na kwa bahati mkono wa MUNGU akawabeba mkapata fursa na hasa kununua kagari na kupanga upande ndo mnaona mmefikaaaaaa!
acheni dharau na maisha ya tamthilia
ulisema anayebisha ana nini?😡😡😡😡Huo ni mtazamo wako
Hapo tupo kiutani tu hata ukifuatilia mabishano yetu utagundua tunatambiana kiutani siyo kutukanana