Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Hahahahaaa Bitoz umezaliwa kinondoni hujawahi kutoka nje ya darisalaam vitu kama hivyo nilikuwa naviona sana kwa mzee kibaki pale mombasa utaniambia nini wewe kula kulala
Kenya ht kwa pikipiki kwa kutokea huko porini si unafika ? acha dharau wenzio tumefika hadi kwenye sanamu lile la LIBERTY kule kwa Mzee Bush

Mimi ni kula kulala nahisi we mporipori itakuwa ni kula kuosha mifugo au kula kukaa au kula kusimama tu
 
1468154503091.jpg
 
Sanamu la LIBERTY si uliliona kwenye runinga hapo mafichoni kwako kwa big mama au ulipata ofa ya kukwea pipa halafu kuniita mimi kula kuosha mifugo hunitendei haki niite kula kusaka pesa sawa?
 
Sasa umekula wazuri wangap au unasindikiza? Endleen kula viepe na kujichubua njoon A-town muone game linavyopigwa
Viepe tunavyokula si tunanunua sasa tusiponunua nyie wakulima pesa mtatoa wapi?
Mmezoea tu kula makande na matunda poei
 
Sanamu la LIBERTY si uliliona kwenye runinga hapo mafichoni kwako kwa big mama au ulipata ofa ya kukwea pipa halafu kuniita mimi kula kuosha mifugo hunitendei haki niite kula kusaka pesa sawa?
Acha kuzuga ww kula kuosha mifugo tu huna jipya hata muda wa kupumzika huna bora mi kula kulala
 
Wewe unakaa humo ndani kazi yako kuosha vyombo na kudeki nyumba si umeolewa hutaki kufanya kazi utaniambia nini mimi kula kusaka pesa
 
Wewe unakaa humo ndani kazi yako kuosha vyombo na kudeki nyumba si umeolewa hutaki kufanya kazi utaniambia nini mimi kula kusaka pesa
Acha undezi ww,......
Mi namega kisela huku mjini nakaa gheto (ww kibandani)
Mwanaume hata uwe kula kulala mwanamke awe ht Waziri bado ww ndo umeoa na unamuendesha tu km mifugo yako acha kukariri ww kutwa kula kulisha mofugo
 
Acha mambo ya ajabu wewe ni mariooo tu siku kibarua kikiota nyasi unatupiwa kamfuko kale karambo na viboksa vyako halafu uache dharau nani anaishi kwenye kibanda?
 
Acha mambo ya ajabu wewe ni mariooo tu siku kibarua kikiota nyasi unatupiwa kamfuko kale karambo na viboksa vyako halafu uache dharau nani anaishi kwenye kibanda?
51b51c9f2d9249eadda57a641db45152.jpg
Kumbe hizo ni nyumba sikujua basi
Acha dua mbaya ww......hilo jimama halioni halisikii kitu kuhusu Bitoz .........Mporipori itabidi uende ukaroge kwa mganga ili ukija upate zali la sivyo utaishia kufagia barabara na Mimi nitakuleta gari la sugar mummy uoshe ww mporipori tu
 
Mimi nikija na R420 mifugo yangu imekojolea humo imekunya humo mariooo wenzio wasiopenda kazi ndio wananioshea pesa inaongea na najua kuitafua halafu wewe inaonekana ni nzubadiii
 
Bwahaaaaa...., kawatoroshe wale uliowaacha kijijini nao waje wafaidi hayo yanayokuzuzua mjini! Najua wakiona maghorofa, barabara za lami na mabasi ya mwendo kasi watagoma kurudi kijijini kama wewe!![/QU



Nahisi utakuwa chinga..
 
Bitoz nyangema bado unadeki nyumba tu ya big mama karibu kifungua kinywa supu ya sato na ugali wa mtama
 
Bitoz nyangema bado unadeki nyumba tu ya big mama karibu kifungua kinywa supu ya sato na ugali wa mtama
Kwanza nyie wachafu vibanda vyenu vya tope mtawezaje kupiga deki
Acha wivu wenzio tunafaidi maisha asubuhi ni sambusa,mayai kwa soseji siyo nyie maskini kutwa kulisha mifugo halafu mnaishia kushinda uji wa sukari guru
 
Yaani wewe hivyo viota vya bonde la msimbazi ndio nyumba hizo mimi nalala kwenye nyumba wewe unajificha kwa muda mafuriko yakija unasombwa kama kambale
 
Yaani wewe hivyo viota vya bonde la msimbazi ndio nyumba hizo mimi nalala kwenye nyumba wewe unajificha kwa muda mafuriko yakija unasombwa kama kambale
Ngoja siku nije kuvichoma hivyo vibanda vyenu vya nyasi ndo utapata akili maana nahisi umepandikizwa ubongo wa ng'ombe ndio maana umekuwa ngumu kuelewa
 
Hahahaahhaaa hiyo jeuri ya kutoka dar kuja mkoani unaitoa wapi mwisho chalinze mariooo mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom