Mwanamke wa Dar

Mwanamke wa Dar

Madem hawanaga hata back up ya kanga.. Sasa wakumbwe na dharura ya period utafurah... Pochi kubwaaaa ndan lina powebank , line kama za simu kama 5 hiv, make up na body spray.. Hawana mana hawa...
4bd95dd494413167677e5064652cd2af.jpg
Afadhali hao kuliko waporipori wanaotumia matambala
 
Hahaaa, umewakimbia nduguzo huko kijijini kufika mjini wajiona mjanjaaa....
bf904f447d1128b17d74723652d98ca5.jpg
Na ww toroka uje utazeekea huko porini na kuzikwa km mifugo yenu shauri yako
 
Ila jamani wanawake wa dar wanaomba hela kila dakika
Mweeeeh!!!!
abdc634ff6c4f7582fa044143e5cd953.jpg
Acha Ubahili Chief ulizoea kushinda tu na fisi sasa ukija mjini uailalamike tofautisha demu na wanyamaporu
 
Yaani wewe Bitoz kuishi hapo mbagala ndio unajiona mjanja wakati wanaume wa kazi tunakuongoza na kukutawala juu una jipya gani?
 
Yaani wewe Bitoz kuishi hapo mbagala ndio unajiona mjanja wakati wanaume wa kazi tunakuongoza na kukutawala juu una jipya gani?
Acha blahblah ww mnatuongoza kwa lipi ? zaidi ya kutambia kilimo na ufugaji tu
 
Wewe Bitoz nyangema hebu angalia hao viongozi waliopo dar ni wanaume kutoka pori tatizo nyie mmekalia kucheza bao tu mtamuongoza nani kwa akili za kushindana na dada zenu kuvaa vipedo na kupa wanja
 
bf904f447d1128b17d74723652d98ca5.jpg
Na ww toroka uje utazeekea huko porini na kuzikwa km mifugo yenu shauri yako

Bwahaaaaa...., kawatoroshe wale uliowaacha kijijini nao waje wafaidi hayo yanayokuzuzua mjini! Najua wakiona maghorofa, barabara za lami na mabasi ya mwendo kasi watagoma kurudi kijijini kama wewe!!
 
Bwahaaaaa...., kawatoroshe wale uliowaacha kijijini nao waje wafaidi hayo yanayokuzuzua mjini! Najua wakiona maghorofa, barabara za lami na mabasi ya mwendo kasi watagoma kurudi kijijini kama wewe!!
Nimezaliwa Agha Khan ...wala sijaletwa mjini km ng'ombe wenu na nitazeeka na kuzikwa pale Kinondoni kwa wajanja tofauti na nyie mtakaozikwa pembeni ya mazizi ya ng'ombe
 
Wewe Bitoz nyangema hebu angalia hao viongozi waliopo dar ni wanaume kutoka pori tatizo nyie mmekalia kucheza bao tu mtamuongoza nani kwa akili za kushindana na dada zenu kuvaa vipedo na kupa wanja
cc2d25317efd4118f2e3e88b867d5629.jpg
Mtani utakuja lini mjini?
 
Nani aje dar nitakuja tu kuleta mifugo yangu narudi zangu mwanza mji msafi sio kama hako kamji kenu kananuka na mmshukuru mkuu wa kaya mwanaume wa kazi mpaka anawahamasisha mfanye usafi mmekalia kupaka mikorogo tu mikono laini hivi Bitozi kwa mikono yako hiyo unaweza kumega hata tonge la ugali wa dona?
 
Nani aje dar nitakuja tu kuleta mifugo yangu narudi zangu mwanza mji msafi sio kama hako kamji kenu kananuka na mmshukuru mkuu wa kaya mwanaume wa kazi mpaka anawahamasisha mfanye usafi mmekalia kupaka mikorogo tu mikono laini hivi Bitozi kwa mikono yako hiyo unaweza kumega hata tonge la ugali wa dona?
e75c78c6a6cf67da38ca57d39ae01528.jpg
92b4413d547c5461f92acf011795d90a.jpg

Huku ndo porini kwenu unakotambia....vipi mmeanza kuogesha ng'ombe wenu Ziwa Victoria nini maana mnajifanya wasafi

..........
 
Mtani Bitoz nyangema tukutane kesho nikupe beberu la mbuzi angalau unukie kianaume sio unanukia mikorogo ya dada zako sawa?
 
Hii vita ya wanaume wa dar, wanaume wa dar wamekimbia kujibu
 
Mtani Bitoz nyangema tukutane kesho nikupe beberu la mbuzi angalau unukie kianaume sio unanukia mikorogo ya dada zako sawa?
04c01ac043312bf3cf649afa1904e573.jpg
Unaongea sana bushstar ...videmu vichafu & vishamba km hivi ndo size yenu nyie mnaotambia harufu ya makalio ya beberu wenu mnaofuga
 
Sasa mimi nikishauza mifugo yangu si najimegea dada zako wale wa mikocheni sasa hivi wameshabooking kabisa wanajua mwanaume kesho anaingia msaka pesa mpambanaji hata akikutana na panyaroad anawamudu sasa wewe mcheza bao Bitoz nyangema pesa huna kwanini nisijimegee tu dada zako halafu uwaambie wapunguze njaa sawa?
 
Sasa mimi nikishauza mifugo yangu si najimegea dada zako wale wa mikocheni sasa hivi wameshabooking kabisa wanajua mwanaume kesho anaingia msaka pesa mpambanaji hata akikutana na panyaroad anawamudu sasa wewe mcheza bao Bitoz nyangema pesa huna kwanini nisijimegee tu dada zako halafu uwaambie wapunguze njaa sawa?
f8e13502fdc90758bfcec55aa8d9b80e.jpg
Pesa nahongwa na mama sukari(sugar mummy) ww endelea kutambia hao watakuchuna hadi utaamua kuuza kwato za mifugo yako pamoja na kuwaletea Sato kila siku lkn sisi funamega kisela labda unazungumzia dada zenu wacheza mdako
 
Back
Top Bottom