Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,933
- 10,557
Sema Bitoz nyangema umetupiwa virago na big mama nije nikupe hifadhi huku mkoani?
We Mporipori mbishi km ng'ombe tutabishana hapa mwaka nzimaSema Bitoz nyangema umetupiwa virago na big mama nije nikupe hifadhi huku mkoani?

Hongera bushstar kwa kumiliki kibanda cha tope chenye thamani ya 179,520/= na lashamba kenye mipapai 7Mwaka mzima tunabisha na kibanda cha big mama unadeki saa ngapi mariooo au kimenuka sema tukusaidie wanaume wa kazi hatuna roho ya kwanini

Halafu anamuuliza demu eti"baby nimekufikisha kweli?"Sasa tunapigana picha au tunacheza game?? Wanaume wa Dar utawajua tu! Badala ya kupiga game anapiga picha
Nina uwezo wa kukumiliki kama ilivyo mifugo yangu tofauti ya wewe na mifugo wewe utalala ndani chumba swafi kabisa na vigae sio hapo bonde la msimbazi unaishi ukiwaza mafuriko yasipite

Bushstar kwa fujo.....sasa stoo ya huku mjini utalinganishaje na vibanda vyenu vya tope huko poriniMifugo inalala bandani mimi siyo kama wewe unalala na gunia la mkaa vyombo mabox ya nguo kwa sababu najua pesa ya kununu begi huna unalala stoo