Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,935
- 10,559
Hahahahaha bora vibanda vya tope lakini vinajitegemea stoo inajulikana na jiko pekee nyumba ya kulala inajulikana lakini wewe hapo bonde la msimbazi chumba kimoja choo humo jiko ndio hilo bafu ndio hilo chumba ndio hicho stoo ndiyo hiyo sasa wewe ni mtu au na wewe ni sehemu ya vitu vinavyohifadhiwa ndani ya stoo?