Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
- Thread starter
- #221
Waporipori wavaa kaniki mmezoea kunywa chai ya hiriki na kun'goa visiki na nguo zenu za pink mnazoanika juu ya masink halafu mnaleta makelele km pikipikiEnyi wanaume wa dar, kumbe ni kweli hamuhamasiki mpaka wanawake wawavalie nguo nusu uchi!!! "PICHA NIMEZIONA" Basi endeleeni tu kunywa pweza
