Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,933
- 10,557
nyie wanaume wa dar hamjitambui kabisa yaani nyie na ujuaji wenu karibia viongozi wote wanaowaongoza huko dar wametoka mikoani kulikoni ina maana hakuna mwanaume wa kusimama kidete
siku hizi imekua sana ngumu kutofautisha kati ya mwanamke na mwanaume wa dar, maana wanafafanana mno!![]()
Mcheki mwanamke wa Dar.....
Endeleeni kukaa tu mikoani na kutambia kilimo + kutuita wanaume wa Dar 7bu kwenu hakuna vitu vizuri......
Mkachunge ng'ombe !!!
Nyie km mnajitambua mbona uchumi umeshikwa na wanaume wa Dar.....nyie wanaume wa dar hamjitambui kabisa yaani nyie na ujuaji wenu karibia viongozi wote wanaowaongoza huko dar wametoka mikoani kulikoni ina maana hakuna mwanaume wa kusimama kidete
Hanna lolote...Wanaume wa dar mnatuzidi kwa kuongea tu kama wanawake na kucheza vigodoro tofauti na hapo nyie siyo type yetu type yenu ni akina asha boko na Hadija kopa hao ndo hadhi yenu
Kibanda vyenu vya udongo vina tofauti gani na kulala njesiku hizi imekua sana ngumu kutofautisha kati ya mwanamke na mwanaume wa dar, maana wanafafanana mno!
ila vp lakini nasikia mlikua mnalala kwenye vifusi baada ya kupitiwa na bomoabomoa,
mshahamia kwingine au bado?
pigeni hata kolabo vijana 8 mkakodishe chumba muishi hapo
na baada ya kukatazwa kucheza pool table mnafanya ujinga gani sasa hivi?
Kibanda vyenu vya udongo vina tofauti gani na kulala nje
Ndio maana nyumba ya udongo haipigwi deki....mkiumwa na nyigu ndo mtapata akili
Ndio mkuu mifugo yetu ya Dar . Vp umeshapata kahawa na kashata??Hanna lolote...
Nahisi upo shamba unalisha mifugo mida hii
Ndio mkuu mifugo yetu ya Dar . Vp umeshapata kahawa na kashata??Hanna lolote...
Nahisi upo shamba unalisha mifugo mida hii
Mifugo yenu muuziane wenyeweUnasema wanaume wa dar ndo mmeshika uchumi ukiangalia kwa umakini asilimia kubwa ya hao walioshika uchumi ni wa mikoani nyie kazi yenu ni kucheza bao na vigodoro halafu muda si mrefu tutawahamishia mkuranga wazaramo wote sisi tukishauza mifugo yetu na mifugo tunakuja kuwekeza nyie endeleeni tu kusema wa mikoani mtakuja kushituka dar imekuwa ya wanaume wa mikoani wanaojua kutumia fursa
