Baba Levo unamtumiaje mwanamke Nauli ambaye sio Mkeo, dadaako, mamaako au shangazi yako?

Baba Levo unamtumiaje mwanamke Nauli ambaye sio Mkeo, dadaako, mamaako au shangazi yako?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
36,361
Reaction score
84,402
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

1. Kwanza serikali inabidi iwashukuru wanawake wanaokula nauli za wanaume wajinga wajinga. Iwashukuru kwa kuwanyoosha wanaume wasiojielewa.
Kwa sababu hiyo ndio namna pekee ya kuwapa akili.

2. Kama Mimi ndiye ningekuwa kwenye power, Kwanza ningewaambia wanawake waendelee kuwanyoosha wanaume mabwege, niceman, wasiojielewa, wasiojitambua. Na mwanaume yeyote akijizama data akanyanyua mkono kuwapiga atanyea ndoo nyuma ya nondo.

3. Oooh! Tunamsomesha Mwanamke. Ulilazimishwa? Huna ndugu wa kusomesha mpaka usomeshe watoto wasiokuhusu. Bwege wee!

4. Wadada mkipata hizo nafasi zitumieni. Wanyoosheni wajinga ili ziwakae Sawa.
Mwanaume unakuwa na kiherehere cha kijinga kama punguani.

5. Kuna ujinga mwingine tena. Mtoto sio wako. Umemkuta single mother anamtoto. Umeamua kumsomesha au kumlea. Hiyo ni wewe. Vipesa vyako havina uwezo wa kubadili ukweli kuwa huyo sio mtoto wako.

6. Akikua au Babaake anauwezo wa kumchukua muda wowote.
Kingine ukiachana na mkeo unapoteza mke na mtoto huyo wa kambo.
Hivi mpka Hilo unataka ufundishwe na serikali mjinga wewe?

7. Mtu sio mkeo unamtumiaje nauli? Kwmba unanyege Sana kuliko yeye au?
Kwamba yeye hakutaki au?

8. Mbona sisi Watibeli hao mademu mnaowatetemekea na kuwaona pisikali wanajileta wenyewe na nauli zao. Mbona hatuwabembelezi na wanakuja wenyewe?

9. Serikali haiwezi kuingilia maujinga yenu. Zaidi hao wanawake wanaisaidia serikali kutoa huduma ya elimu bure ili kuondoa akili mgando kama zenu.

10. Nikamsikia Haji Manara akimuunga Mkono Baba Levo kwa kusema;
Ati kumbe kabla hajatumiwa nauli huyo mwanamke anatumiwa na hela sijui ya saluni, sijui nini na nini. Mamaye!😂😂

11. Afu unakuta mamaake na huyo jamaa amechoka kajichokea huko kijijini na wanamhisi mchawi kisa kuchoka, kupikia kuni, kuvaa nguo na kanga moja kama sanda.

12. Babaake huko kijijini ananuka harufu ya shida, nguo zimechoka kwa umaskini alafu litoto lake ni wewe linatoa kwa makahaba huko mjini pesa za kusuka. Aiseeh! Bora wanawake wawanyooshe aiseeh

13. Mnataka serikali iwaonee huruma ili mrithishe maujinga yenu kwenye kizazi kinachofuata?
Lazima mnyoroshwe.

14. Sisi Watibeli hela hatutoi. Kwa sababu sisi sio wajinga.
Kuna Majinga yatasema oooh! Ninyi hamna hela. Sawa. Ninyi kama mnahela mbona mnalialia zikichapwa na wanawake wajanja?

15. Sasa umkute huyo mwanaume anayetuma nauli anayekuambia anahela mwangalie alivyochoka,
Sura imekakamaa haina mafuta, haina virutubisho, Hali chakula cha kueleweka Kila Siku maugali.
Maziwa hanywi, nyama hali mpaka sikukuu. Kama limelogwa hivi.

16. Njoo ukutane na Mtibeli, miaka imeenda lakini kama kijana wa miaka 20+ hivi.
Kwa sababu ya kujithamini, kujipenda,

17. Kijana, kuliko hiyo pesa uibiwe. Nenda pale Ubungo chukua maziwa lita 10 haizidi elfu 15 kaweke kwenye fridge. Kungwa Kila Siku Lita moja.

18. Hiyo hela ya kusuka elfu 50, nenda ple shekilango kachikue kuku wawili, katakata weka kwenye jokofu Kula.

19. Hiyo Pesa nunua mafuta ya ngozi mazuri. Paka. Unawiri.
Alafu uone kama hao mademu utatuma nauli hata Siku moja.

20. Usiwe lijinga. Hata wanawake Wana nyege kama wewe. Why wewe ndio utoe pesa pekeako?
Usijetumia maneno ya brainwashed uliyopewa kwamba wewe ni mwanaume unatakiwa uteseke.
Wanaotesekaga ni mabwege na malofa kwa sababu ya ujinga na sifa za kijinga.

Mimi nimemaliza.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
 
21.ukizidiwa sana na uko bachelor piga punyeto angalau mara mbili au moja kwa week achana na mwanawake ambao sio mke wako kwa hili nakuunga mkono mtibeli

Siwezi piga nyeto wakati watoto wakali wamezagaa huko duniani.

Ukitoka tuu ukapanda daladala ukienda ukirudi huwezi kosa mtoto mkali.
Muhimu afya,
Nunua vipimo vya Ukimwi ukienda pale Kariakoo zile pharmacy za jumla wanauza.

Au tumia kondomu
 
Itakuwa hajahudhuria kikao cha walosoma cuba tangu apate madaraka

ama ndo kudharau kikao cha wanaumee baada ya kusogea hatua
 
Itakuwa hajahudhuria kikao cha walosoma cuba tangu apate madaraka

ama ndo kudharau kikao cha wanaumee baada ya kusogea hatua

Vikao wanahudhuria Sana. Tatizo upeo Mdogo. Sasa wakikutana na wanawake wajanja wanawapiga kama Ngoma. Ndio unasikia milio
 
1780476384897.png
 
Wanaume wa namna hyo ni washamba na walimbukeni wa mapenzi..Wanaamini pesa ndo kila kitu kwenye mahusiano..Rafiki yangu aliwahi msomesha mchumba hadi UDSM.. baadaye akapigwa mchumba akaolewa na mwanachuo mwenzake..Mtoa mada bora umewakumbusha hao washamba na malimbukeni wa mapenzi.
 
Kwani wakitaka kwenda sehemu nyingine mfano kanisani, padre, mchungaji huwa anawatumia nauli???

Majukumu mengine tunajipa wenyewe.

Na mwanamke ukimwambia njoo, akamwambia tuma nauli, ujue anaipima shauku(nyege) yako ipo level ipi??? So ukituma nauli mara ya kwanza, always utatuma nauli.
 
Back
Top Bottom