ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
inaelekea mkeo ni mchanga ndo maana unabwabwaja utumbo hapa
You will know when you have it" by plato maana ke akijua vitu vingi kubadil mawazo yake ni rahisi san ndo naama mataifa makubwa yanawatumia sana ke wanaamike wepes kubadil watu wengi zaid rifaa haki sawa leo hii kama mtashauriana na ke akutii kizembe! hata wajibu wake hataki unless anahofu nyngne ya maandko