Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
nakasirika siku hizi sion notification on time................
na mie hapo ndo nachoka......watuache tu.kama ipo ipo
mi nilifikiri mimi tu. yaani notification zinachelewa sijui tatizo nini.
nakasirika siku hizi sion notification on time................
na mie hapo ndo nachoka......watuache tu.kama ipo ipo
inaelekea mkeo ni mchanga ndo maana unabwabwaja utumbo hapa
Bila shaka unahusika mbona umejaa gesi sana
sio kushinda MMU tu, mtoa mada hataki wanawake wenye uelewa mkubwa wa mambo.
halafu wewe kama ujawahi ku:frusty::frusty:
endelea kumpa bichwa huyo kichaa mwenzio
basi mie sintoolewa kabisaaaaa
mmh mtu anajaaje gesi. au hoja zimeeisha tufunge mjadala jameni.
So Heaven on earth akikutaka utamtolea nje because anashinda MMU
Bila shaka unahusika mbona umejaa gesi sana
Hiv kumbe mkiondolewa tu kweny mitandao mbadala wake kwenda kuuza sura bar hakuna mahala pengne kwanin usiseme kanisani au msikitini
Ukichoka unafunga hujalazimisha kujibu kila comment kama una ample time fanya au ndo nyie mnaoshindaa mmu ili kutokuwa kiguu na njia na umbeya
gesi ya kule ntwara ama
gesi ya kule ntwara ama
wakikuacha nitakuchukua
mi huwa natumia njia fupi kusolve matatizo kwahiyo kama huyo ataniusu ki-sex tu mengine asahau...au nakua kazi yangu ni kuchukua simu pale unapoitumia vibaya natupa kwenye maji basi....kwahiyo likizo kama hizo za lazima zitakuhusu so naona ni bora nimuache apate wenzake ambao ni addicted kama yeye labda wanaweza kuendana kitu ambacho nimeona hawawezi maana nimeshajiribu kama mara kadhaa kujifanya niko busy na internet duh lawama zinakua nyingi ila nyie mkiwa busy na mitandao hiyo ya jamii mnajifanya si tatizo.sasa utakimbia wangapi mkuu? umri ukifika utatulia tu na utagundua kwamba running away from problems is not the right way of solving problem. kabiliana nalo na ulitatue na huo ndio uanamume.
mmmh majibu haya mitandao ya kijamii inapunguza watu kuwa kiguu na njia na umbeya kweli ndoa cku hz hazidumu ndo yaleyale kwanini umeoa/olewa kwa sababu nimeona umri unaenda majibu mepesi kweny maswali magumu
du well said mdauHe has 2 options. Either aongeze kisomi chake ili mwanamke 'asimdharau' au atafute mwanamke kiazi ili ajione 'mwerevu na aheshimiwe'
best huyu mutu saizi kapata mihasira mara gesi mara sijui nini mweeh!!!!!!!!!!
mmmh tz nayo hongera bhana ndo unayoifahamu ni hiyo tu
Akianza kwenda church / msikiti unamzuia eti anaonana na mabwana zake huko... Ninyi wanaume Mwenyezi Mungu awasamehe tu.
Hujaona mwanamke anazuiwa kwenda church / msikitini???