Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Dah! kweli mitandao noma unaweza ukakuta mkeo ana weka kwenye page yake,haya sasa gemu ndio linaanza,naanza kuchezewa naniliyu sasa.
Nalog off
Nalog off
Mwanamke anaejitambua vzr hawezi kuja kueleza mambo yake kwenye mitandao...hawezi kuja kujiexpose hapa atongozwe kisa jamaa yake anajiamini and viceversa is true...huko sio kujiamini na kama huyo shemeji yako anaachia hayo mambo basi hamna kitu hapo...We siafu dume tabia kama hiyo haisababishwi na uwepo wa mitandao bali ni tabia binafsi. Mtu anaweza akawahadithia majirani/work mates/ mashoga au ndugu zake mambo hayo hayo ilimradi awe amesema. Tena bora hapa watu hamjuani.
Plus, ni kila member humu unamuona akielezea kinachoendelea kwenye maisha yake?Acheni uvivu wa kufikiri. Huyo mwanamke asiyefahamu mambo ya mitandao kama anapenda kuongelea sana mambo yenu/yake atakuongelea mtaani,kwa ndugu na marafiki zenu na utaishia kufyonzwa/kunyooshewa vidole,kubezwa na kudharauliwa kama anakusema kwa mabaya na mapungufu yako.
King'asti . . .Miss sana wewe wifi. Kaka yako angekuwa hajiamini kama hawa jamaa tungehamia mars aiseee.
Mwanamke anaejitambua vzr hawezi kuja kueleza mambo yake kwenye mitandao...hawezi kuja kujiexpose hapa atongozwe kisa jamaa yake anajiamini and viceversa is true...huko sio kujiamini na kama huyo shemeji yako anaachia hayo mambo basi hamna kitu hapo...
Mmmm ha ha ha badiebey bana...sio lazima magenereta ukijipanga...ukipata mtu mkapendana sawa sawa, mkaelewana, ukamkubali akakukubali, ukaamua kabisa huyu ndo basi , mkaheshimiana sawa sawa na malengo yenu yenye kufanana na obvious mkiwa hivyo hata s..x itakua tamu...kutakua kuna haja ya majenereta kweli..nafikiri unaelewa umeme wa tanesco hauko reliable,ma-generator muhimuuu..