Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Kuna mambo ambayo nimeweza kuyaona hapa kwa haraka kutoka kwako mtoa mada

1.Hupendi challenge
2. Kujiamini kidogo tatizo
3. Ubinafsi wa knowledge, uli uweze kua juu siku zote

Ila kwa wanawake na nyie mjifahamu sasa, ukifanya JF na facebook ndio drip yako ya uhai.... Haitachelewa kua mme wako pia.
 
Bora mmu iwe mume,manake imeweza kua awake mida hii na kunifarij....mwanaume anaweza kujitolea kua awake mpaka saa hiz!?...
 
You have a point dude...wanawake wengi hasa wa mitandaoni na tamthilia..ni majanga wanashindwa kutofautisha maisha ya tamthilia na maisha halisi....vile vile wanaongea kimtandao mtandao..
 
Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakinipa woga na hofu ni kuoa mwanamke anayetumia mitandao ya kijamii zaidi ya moja mfano MMU, SIASA (JF),FB, INSTAGRAM nk huwa naondoa 60% kuwa sitowezana naye maana ni bora m/me akawa anafahamu mambo mengi kuliko m/ke atakudharua sn maana kila mtakachozungumza lazima apeleke mtandaoni huku upo naye hapohapo na hivyo kuona huna jipya kwake, hii imenifanya mahusiano na m/ke kitu muhimu kuuliza ni kuwa anatumia mitandao gani ya kijamii ili namna ya kukabiliana naye au wadau mnasemaje watu hawa wanafaa kuwa wife material kweli!

Jiamini kijana.. so unataka tuishi kama miaka ya 1947???
 
Kuna mambo ambayo nimeweza kuyaona hapa kwa haraka kutoka kwako mtoa mada

1.Hupendi challenge
2. Kujiamini kidogo tatizo
3. Ubinafsi wa knowledge, uli uweze kua juu siku zote

Ila kwa wanawake na nyie mjifahamu sasa, ukifanya JF na facebook ndio drip yako ya uhai.... Haitachelewa kua mme wako pia.

Nimependa observation 1-3
 
Ndiyo mkuu uko sawa kabisa,lakini kumbe from the point of yours mi naona hii mitandao yetu ya kijamii ya sasa haina manufaa kwa pande zote mbili yaani me na ke,kwani hizo topic za kufumaniwa ,kuliwa tigo na usaliti zinamfaidishaje me au zinamfundisaha nini kitakachomsaidia kwenye ndoa yake na kuijenga familia yake?

Kwa hiyo kwa ufupi hii mitandao yetu ya kijamii ya sasa sijui flicker,facebook,twitter na friendster(angalau jf japo wapo walio wachache wanaotaka kuuchafua mtandao wetu pendwa,tunaomba hilo lipitilie mabali nasi)haifai kwani hakuna la maana humo zaidi ya ujinga kwa hiyo hata mwanaume asipoituimia kwa umakini na busara ye pia haimfaidishi zaidi ya kumjaza ujinga kichwani.kwa hiyo hapa ninachoona mimi na mume na mke wanaweza kujiuliza yafuatayo kuhusu mitandao ya kijamii:
1.Je tutumie mitandao ya kijamii?ikiwa hapana sawa,ikiwa ndio jiulizeni

2.Tutatumia mitandao ya kijamii kwa makusudi gani?jst chating au kuna mambo ya maana yanayopatikana humo?

3.Kama tumeamua kutumia mitandao ya kijamii tutatumia muda kisai gani?wakati gani?

4.Ikiwa tumeamua kutumia mitandao ya kijamii tutaiitumia tukiwa pamoja au kila mtu kivyake?

Kujiuliza mambo kama hayo kunaweza kusaidia mume na mke kuitumia mitandao hii ya kijamii kwa manufaa na kwa akili,vinginevyo ni majanga tu ambayo yanaweza hata kuleta mgogoro mkubwa ndani ya nyumba kwa kuwa mraibu wa hii mitandao.

Am off mkuu na natumaini nimeeleweka kwa kiasi fualni.


mkuu unadhani wake zetu zamani walikuwa haangalii mitandao(ila sio hii ya facebook na instagram)tatizo mitandao wanayoingia now days na watoto wa dotcom na wasio na maadili!!!!siku hizi eti hata bongo wametengeneza website za ngono/AKIINGIA HAPO MMU ndio usiseme anakutana na lile janamke linalosapoti umalaya kwa wanawake kwa kigezo eti kupinga mfumo dume!!!!!afu na mijanamke kibao iliyoshindwa kuwa watu wema na bora ambao wameamua kuharibu wengine either kwa kujua au kwa kutokujua!!miatandao hata kama hana intention ya kusoma ujinga ila akiclick tuu hapo kwenye new posts kila saa anakutana na vichwa vya habari vinahusu tuuu kuliwa 0713,0714,0716 na mafumanizi hatakuwa interested but ipo siku ataona ngoja nisome(human nature sitaki mtu apinge)mara bahati mbaya akiwa mmoja wa wale watakaokuwa interested basi tena kila siku atakuwa anaosma hayo madudu mara atataka kujaribu labda baada ya kuongelea sana um,alya na kuona kitu cha kawaida mara kila cku anaona flani kafumaniwa mara flani kafumaniwa mwisho uoga unamtoka wa kufamaniwa anaanza kuamini kucheat ni lazima na kufumwa ni bahati mbaya!!!!!si unajua siku hizi watu kutoka hata kwa magazeti sio ishu tena!!!!too much of enithing is hamfulu!!!!!kwa hiyo hizi social kuna ujinga mwingi mbaya zaidi kuingia kwenye yale makundu(magroup) yao ya kiseng,e yale afu wanadiscus use.nge tuu!!sitaki kabisa kusikia wanawake wa namna hii
 
Mtu anayejua anachokitaka na mwerevu hakai akafundishwa tabia mbaya huyo atakuwa zumburukuku...Mimi nina high principles zangu kama wenginevyo walivyo na zao na sikai nikashawishika kwamba mapenzi bila pesa hayaendi wakati najua yanaenda la muhimu ni mapenzi ya dhati na ushirikiano kutoka pande zote mbili!!!SIMPLE AND CLEAR!!Walokuwepo humu asilimia kubwa ni watu walopevuka kiakili na wanajua wanachokifanya!!Hii ni karne ya 21 mkuu!!
.....Mimi naamini wanachocmment huku ndo maisha halisi yalivyo.....kama watu wanajitambua na watu wazima....huoni zikipostiwa thread mtu Fulani akicoment tofauti tu na wote wanamuiga.....labda watu wabadilike.....
 
too much is harmful. sio kwa wanawake tu hata wanaume. ukiwa na mume anashinda mitandao nayo inakera. mambo mengine ni makubaliano kati ya watu wawili.
...yah haitakiwi hata kwa mwanaume......ivi mwanaume anaweza kupost picha instagram au facebook amekaa uchi au nusu uchi...?
 
.....Mimi naamini wanachocmment huku ndo maisha halisi yalivyo.....kama watu wanajitambua na watu wazima....huoni zikipostiwa thread mtu Fulani akicoment tofauti tu na wote wanamuiga.....labda watu wabadilike.....
Aisee maybe you should start reading my comments!!I recommend..Cause i say what i want to say not coz anybody said it even if it separates my opinion from everybody else..But i stand by what i mean and say!!
 
...yah haitakiwi hata kwa mwanaume......ivi mwanaume anaweza kupost picha instagram au facebook amekaa uchi au nusu uchi...?

Lakini wanaume tunafundishana namna ya kucheat responsibly!!! Tunaelezana na kuweka wazi mambo machafu tunayofanya in the absence ya wake zetu!! Tusiwe bias tunapo comment!
Kuna uzi mmoja jamaa ka comment HAKUNA MWANAUME WA MWANAMKE MMOJA!!!
Una expect nini mkeo au girlfriend wako akifahamu hivyo??? Unadhani true love itakuwepo endapo mkeo atajua hili?
 
Kupitia hizi social nwork utajua kumbe NDOA(Nature) iko replaced na MONEY(man-mAde).R/MALI PAPUCHI NI SULUHISHO KIUCHUMI
 
Watu wanabadili ulimwengu kwa namna nying san kuna semina nying sana zinaendeshwa maeneo mbalimbali watu wa act in +ve way morally lkn daily negativity zinaongezeka wakat hakuna hata semina zake hujiuliz tu kumbe watu wana immitate kwa kuona, kuckia na kusoma hivyo mitandano ina nguvu kubwa sana na ke ndo sehemu kubwa ndo wanakuwa jiran na watoto ndan ya familia zetu ndo ugomvi unaanza kisa kasoma njia za kupretend kwa mumewe anapokuwa kakosa

kama mtu ataweza kuimmitate kwa kuona, kusikia na kusoma atashindwaje kwa kufundishwa wakati njia ulizotaja ndio zinazotumika katika hizo semina?
halafu usinishangaze.....ke ndo wanakuwa jirani na watoto!!?? kwa nini? wanaume sio wazazi wa hao watoto ama?
 
Aisee maybe you should start reading my comments!!I recommend..Cause i say what i want to say not coz anybody said it even if it separates my opinion from everybody else..But i stand by what i mean and say!!
...Fanya uchunguzi utagundua tu...lakini sishangai ndo vijana wengi wa kitanzania tulivyo...
 
Boys boys boys!
Wala tusiende mbali. Angalia posts zangu ni ngapi na ngapi zinaelezea maisha yangu. Tatizo sio mtandao, tatizo ni huyo unaemuongelea. Mbona kuna wakaka tunakaa nao vijiweni na ndoa zao ndo main topic kila tukikutana? Akili ni nywele bwana. Mwanaume anaejiamini anajua jinsi ya kudeal na kuongea na mwanamke wake bwanaa. Hii mitazamo yenu haina tofauti na kumzuia mke kufanya kazi ili asitongozwe. Anaweza akawa mama wa nyumbaninna akatongozwa na muuza duka, muuza nyanya ama muuza samaki na bucha!
Najimin sana sema weng wenu lazma mzungumzie ushabiki co uhalisia nachoamini self actualization kama inaenda poa mengne ziada

....Kujiamini ni kumwacha mwanamke ...awe anapost kila kitu kinachotokea kwenye ndoa mmu...kama yule kapigwa kibao tu kakimbila mmu kupost...alafu wakatii mwingine ni ushamba kuliko ujanja zaidi kama mnavyo fikiria......angalia definition ya KUJIAMINI vizuri

^^
Ashinde online! Alale online! Atafute relations online! Alete principles za online ktk ndoa!..
Mwanaume akilalamika useme hajiamini?
^^
 
nimeshakujua afu wewe we haya tu
 
Boys boys boys!
Wala tusiende mbali. Angalia posts zangu ni ngapi na ngapi zinaelezea maisha yangu. Tatizo sio mtandao, tatizo ni huyo unaemuongelea. Mbona kuna wakaka tunakaa nao vijiweni na ndoa zao ndo main topic kila tukikutana? Akili ni nywele bwana. Mwanaume anaejiamini anajua jinsi ya kudeal na kuongea na mwanamke wake bwanaa. Hii mitazamo yenu haina tofauti na kumzuia mke kufanya kazi ili asitongozwe. Anaweza akawa mama wa nyumbaninna akatongozwa na muuza duka, muuza nyanya ama muuza samaki na bucha!
......kujiamini ni kuto kua makini na principle na mke au girlfriend wako...!!?? labda sijuii maana ya kujiamini....relation ship bila strict principals ni kero na fujo...with very low stability
 
if you love something, let it go.
if it comes back to you, it is yours for keeps.
if it doesnt, it was never meant to be.
......kujiamini ni kuto kua makini na principle na mke au girlfriend wako...!!?? labda sijuii maana ya kujiamini....relation ship bila strict principals ni kero na fujo...with very low stability
 
Kupitia mitandao hii watu wanaoana, wanazaa watoto'
leo ww wataka kunambia nini wakati me kipenzi changu nimekipata humu humu JF
 
Boys boys boys!
Wala tusiende mbali. Angalia posts zangu ni ngapi na ngapi zinaelezea maisha yangu. Tatizo sio mtandao, tatizo ni huyo unaemuongelea. Mbona kuna wakaka tunakaa nao vijiweni na ndoa zao ndo main topic kila tukikutana? Akili ni nywele bwana. Mwanaume anaejiamini anajua jinsi ya kudeal na kuongea na mwanamke wake bwanaa. Hii mitazamo yenu haina tofauti na kumzuia mke kufanya kazi ili asitongozwe. Anaweza akawa mama wa nyumbaninna akatongozwa na muuza duka, muuza nyanya ama muuza samaki na bucha!

^^
JF women are always brave
^^
 
Back
Top Bottom