Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

wako tena wengi kabisa acha kudhani kuwa wanawake wote hakuna asiye mwaminifu
hizo ni propaganda zenu wanaume na nyie ndo mna matatizo makubwa sana

Ni kweli Sio wote.....na kama sio wote hai alalishi mwanamme/mwanamke kuishi na mpenzi wake bila machale........huu usemi wanawake wengi wa mjini wanautumia sana.....ni usemi mbaya sana kumwambia mpenzi wako..........na ukiona mpenzi wako anakuambia hujiamini kuwa makini......he/she is weakening your feeling ili aendelee na mambo yake anayoyajua.......yanaweza yakawa mabaya au mazuri.
 
kwa hiyo inamaana wanawake hawana uhuru wa kutumia vyombo hivyo
na inaonesha wewe umetudharau sana tena unasema kuwa sie ni...........
nimeweka red hapo uelewe
hebu tengua kauli yako na utuombe radhi sasa huwezi kutupangia mipaka kiihivyo.


Lengo ni kufikisha ujumbe kwa wahusika kama we co muhusika ya nin kujaa gesi kunambia nitengue kauli kama we ni muhusika message send ndo msimamo wang
 
halafu what if mume mwenyewe ndio awe online muda wote.....

Ukiona hivyo ujue hata mtoto atatengenezwa online...

funny-cartoon-how-babies-will-be-born-in-future.jpg


cc: Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
we CALMAN hebu usituchoshe hapa. kama wewe unataka mwanamke mbumbumbu wapo wengi watafute utawapata


I dont mean mbumbumbu mwanamke ni emotiona driven ndo mana m/me tatizo hata liwe kubwa kiasi gan halii ovyo ndo nature vivyo hivyo ukipata mambo mengi kutoka mitandaon ndo hivyo anaanza kubadili mawazo nakuanza kutafakar hata mume aliye naye anasifa alizoona mtandaon na mwisho kuona kama alikosea pengne labda coz mume hana pesa lakn awali walipendana
 
Last edited by a moderator:
hakuna uhusiano kati ya kushindwana kwako na wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii au wale wasiotumia.

Ni sawasawa na kusema hautawezana na mwanamke anayemiliki gari au nyumba. Unatatizo lako la kisaikolojia si mitandao ya kijamii.


Mmmmh vp unalelewa nin na sugar mu.y maana cje kuwa najibzana na mtu ambaye keshaolewa kumbe inatakiwa tushughulikia saikolojia yako
 
unataka kunambia wale ke walioko hapa hawataolewa ama walioolewa wataachika?? 2. Unataka kunishawish kwamba yanayosemwa jf ama mitandao mingne yote yanamadhara hasi ktk mahusiano? 3. Unataka kuniaminisha kwamba hawa ke walioko kwenye hii mitandao akili zao hazina akili hadi washndwe kuchuja wayapatayo? 4. Unataka kuniaminisha kwamba kama wao mitandao itadhuru mtizamo wao kwenye mahusiano me watakuwa salama?


Watu wanabadili ulimwengu kwa namna nying san kuna semina nying sana zinaendeshwa maeneo mbalimbali watu wa act in +ve way morally lkn daily negativity zinaongezeka wakat hakuna hata semina zake hujiuliz tu kumbe watu wana immitate kwa kuona, kuckia na kusoma hivyo mitandano ina nguvu kubwa sana na ke ndo sehemu kubwa ndo wanakuwa jiran na watoto ndan ya familia zetu ndo ugomvi unaanza kisa kasoma njia za kupretend kwa mumewe anapokuwa kakosa
 
Kathread kamewatoa wamama povu sana. Mmeshaambia inayomhusu ujumbe umfikie, naona woote wanapovuka tu.

Ukisikia paa ujue????
 
kutokujiamini


You will know when you have it" by plato maana ke akijua vitu vingi kubadil mawazo yake ni rahisi san ndo naama mataifa makubwa yanawatumia sana ke wanaamike wepes kubadil watu wengi zaid rifaa haki sawa leo hii kama mtashauriana na ke akutii kizembe! hata wajibu wake hataki unless anahofu nyngne ya maandko
 
Kathread kamewatoa wamama povu sana. Mmeshaambia inayomhusu ujumbe umfikie, naona woote wanapovuka tu.

Ukisikia paa ujue????

Babu tunakuheshimu ujue..... Ndani tukatazwe kutoka, saluni tukatazwe kwenda, sokoni nako khaaaaa!!!!

Sasa mmegeukia Mitandao ya kijamii.... Khaaaaaaa!!!!!! Mtuwache tupumuweeeeee miaka 900..........
 
maana kila mtakachozungumza lazima apeleke mtandaoni huku upo nae!

Hapo Ndo panatakiwa pakupe mashaka. Akijua umepata jf utundu wa mapenzi Haina shida km anauinjoy, Huoni NI mby akijua Kuna kitu kizuri af we hukifanyi kwake
 
Babu tunakuheshimu ujue..... Ndani tukatazwe kutoka, saluni tukatazwe kwenda, sokoni nako khaaaaa!!!!

Sasa mmegeukia Mitandao ya kijamii.... Khaaaaaaa!!!!!! Mtuwache tupumuweeeeee miaka 900..........

Kwani kathread kanakuhusu wewe?
 
una matatizo ya kisaikolojia wewe
Lengo ni kufikisha ujumbe kwa wahusika kama we co muhusika ya nin kujaa gesi kunambia nitengue kauli kama we ni muhusika message send ndo msimamo wang
 
Back
Top Bottom