BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Ni wanawake wachache saaana wana guts za kuongea kwa uhuru kwa wenza wao
kua wapi yupo sensitive, wapi anaona raha... namna gani awe handled, na ni mda gani
inamchukua kusikia ashiki ya kutaka kufanya hilo tendo lenyewe....
Ni wanaume wachache hupenda kusikia madhaifu toka kwa wanawake wao, au kutaka
kujua kua kweli hamfikishi... aweza hisi kua hukufikishi but ile ukitamka ndio umemmaliza kabisa
basi kuepusha hii anaziba kabisa ubongo wake kutaka jiuliza kweli kama anatenda haki...
Na hilo tatizo likiendelea miezi kadhaa ni hatari kwa afya ya wapenzi hasa kama ni ndoa...
Hilo ndio kosa kubwa sana wanalofanya akina mama kutotaka kuwaeleza wenzi wao ni lipi kati ya hayo ambalo linamrahisishia sana kufika kule mahala. Wengine hata kuijua miili yao hawaijui kwa hiyo ukimuuliza wapi ambapo unaenjoy zaidi nikikushika au nikikuchezea naanza kung'aa macho, "Wee nichezee popote tu unapopenda mwenyewe" hahahahaha lol!
Kuna haja ya akina mama kuwa wazi na pia kufanya bidii ili waifahamu miili yao na hivyo kuweza kuwapa miongozo wenzi wao wa kufikishwa kule kwenye maraha ya ajabu...kwenye dunia ya kupaa pamoja na kuwa huna mbawa 🙂 za kuweza kufanya hivyo.