Mfumo dume upo hadi kwenye ngono.... Kama kuna alie wahi mfikisha bila kuelekezwa
anaona wewe umeshindwa... na kama umeshindwa why bring it up? ambayo sio kweli
maana siku za mwanzo za mahusiano mnakua hamjazoeana hivyo lazima kwanza mjuane
jinsi ya kuridhishana.... However kama mmefanya mara tatu na zooote ni failures, Then their
is no Compactibility hapo...
Na pia we love saaaana - hivo it is in our nature kua kama wewe umeridhika na roho yangu imeridhika...
na wanawake weeengi huwachukua mda mrefu mno kufika kileleni, ivo unakuta anakutana na kaka
zetu wasasa ambao majority ni wavivu mno, akishamaliza yeye hana kabisa nguvu ya kwenda mbele..