Mwanamke jitambue kama wewe ni mbaya

Mwanamke jitambue kama wewe ni mbaya

Ni JB na Yerusalem yake au producer tofauti? Inatoka lini hiyo cd ndugu? Inaitwaje? 'Excel Akamata Jambazi' au?

hahahaaa!! mkuu tulikuwa tunashuti demo tu kwa ajili ya kuuza AZAM T.V lakini baadae tunakuja kufanya kazi na proin promotions..

kuna mengi mbele aisee..!!!!
Excel kaigiza kama tapeli kulaleki! aisee jana nimechezea mitama ambayo sijategemea!!! lolz!

nimetoka na shati langu limenyooshwa vizuuri, nimerudi jioni aiseee! sitamaniki!
 
Last edited by a moderator:
1.Wa tag watu 100 picha yako kwa facebook, ukipata likes mbili tena kutoka kwa ndugu zako ujue wewe ni mbaya.

2 Mwanaume atajisikia na uhuru pindi akiongea na wewe, sababu atakuona
kama wewe ni mmoja wa mwanaume mwenzao. Wenginge watapenda kusikia ushauri wako wa jinsi ya kumuingia msichana mwingine.

3.
Kama ujawahi kulipiwa nauli katika daladala au usafiri wowote. Unatakiwa kufanya kitu fulani katika muonekano wako.

4.
Kama katika maonyesho ya sanaa shuleni, kanisani. Siku zote wanakupanga ucheze nafasi ya Uchawi, Zimwi au shetani. Tambuwa wewe ni mbaya

5. Wasichana wengi wenye majina mazuri kwenye facebook au jamii forums
kama
Cute, Diva na yanma hiyo. Ki kawaida ni wabaya.

6. Wasichana wabaya hawataipenda hii post na wataweza kukoment kwa hasira.

ubaya au uzuri ni perception ya mtu husika na hutofautiana kati ya mtu na mtu
 
Hebu wacha hizo... Mbona wanaume ni wabaya ila tunawavumilia??

Majanga dada...
Basi tu tunawastahi! Mwingine unakuta tumiguu tumepindaaa alafu tuna manundu nundu ka fito, kosea ugeukie sura sasa.....ka jambazi lilolipuliwa na baruti za mawe ya wakandarasi wa kichina! mpheeeeew!
 
Unachosema ni kweli best!! Hii hali ya kukosoa kazi ya Mungu walikuwa nayo wanawake, siku hizi naona wanaume nao hukaa "vijiweni" kazi kusema muonekano wa wengine!
Ila ni dhambi, ufinyu wa kufikiri kukaa Na kuwasema wengine ati ni WABAYA...wewe ni nani kukosia usichokuwa Na uwezo wa kukitengeneza?

Lakini unavyopotea hivyo sio vizuri!!!

Si siku hizi wakiume nao wamejua kujisop sop na kuvaa boxer (achilia zamani walivyokuwa na tukaptura tena unakuta kamoja tu!!)
 
Back
Top Bottom