Mwanamke jitambue kama wewe ni mbaya

Mwanamke jitambue kama wewe ni mbaya

Na aliyempa heko kuwa yeye mzuri ni nani?
Tabia mbaya sana kudisvalue wengine ati ni wabaya

Mie mwenyewe nimemshangaa mwili mzima,
Nkajua wazuri wanauzwa dukani kwa bei ya ghali
 
nyie mnaosema mtu mbaya mmeshawahi kuumba mtu? kama kilimpendeza Mungu iweje machoni kwako ukiite kibaya? acheni kukaa mnakosoa kazi ya Mungu. utasikia huyo ana masikio mabaya, tuonyeshe mazuri uliyoyaumba wewe. siku ya kufa hakuna cha mbaya wala mzuri wote tunarudi mavumbini,
 
Mleta mada aliweka kipengele namba sita bila shaka alijitafutia kinga. Ila yanapokuwepo mashindano ya uzuri, uoni tusi la moja kwa moja kwa wasiyo wazuri. Je unaamini kuna wazuri na wabaya?

yah naamini wapo,but kuna jins ya kuwa adress watu kama hao,lakin sio kama alivofanya huyo mtoa mada,amefanya kama si watu kabsa yan na hawafai na inabid wakae ndan tuu wastoke nje,..wanaofanya mashindano ya uzur na ubaya pia nao wanakosea,ni w.a.p.u.m.b.a.v pia,kwa neno lingine tunasema ,they are cheap,sio kila wafanyalo watu ni sahih,meng tuu sio sahihi dunian hapa na ndomana kuna protestors everywhere
 
Mie mwenyewe nimemshangaa mwili mzima,
Nkajua wazuri wanauzwa dukani kwa bei ya ghali
Usijali tian, you are wonderfully created....
 
Last edited by a moderator:
ukiona umezoea kupigia picha CAMERA 360 Hata katika mazingira ya kawaida mfano unataka kupiga picha chakula,mwenzio,gari ukatumia camera 360,JUA WEWE NI MBAYAAAA:biggrin1:
 
:wink2:mmezidi


2 Mwanaume atajisikia na uhuru pindi akiongea na wewe, sababu atakuona
kama wewe ni mmoja wa mwanaume mwenzao. Wenginge watapenda kusikia ushauri wako wa jinsi ya kumuingia msichana mwingine.

3.
Kama ujawahi kulipiwa nauli katika daladala au usafiri wowote. Unatakiwa kufanya kitu fulani katika muonekano wako.

4.
Kama katika maonyesho ya sanaa shuleni, kanisani. Siku zote wanakupanga ucheze nafasi ya Uchawi, Zimwi au shetani. Tambuwa wewe ni mbaya

5. Wasichana wengi wenye majina mazuri kwenye facebook au jamii forums
kama
Cute, Diva na yanma hiyo. Ki kawaida ni wabaya.

6. Wasichana wabaya hawataipenda hii post na wataweza kukoment kwa hasira.
[/QUOTE]
 
wanajihami namajina mazuri kumbe sura kama mundu:majani7::majani7:




2 Mwanaume atajisikia na uhuru pindi akiongea na wewe, sababu atakuona
kama wewe ni mmoja wa mwanaume mwenzao. Wenginge watapenda kusikia ushauri wako wa jinsi ya kumuingia msichana mwingine.

3.
Kama ujawahi kulipiwa nauli katika daladala au usafiri wowote. Unatakiwa kufanya kitu fulani katika muonekano wako.

4.
Kama katika maonyesho ya sanaa shuleni, kanisani. Siku zote wanakupanga ucheze nafasi ya Uchawi, Zimwi au shetani. Tambuwa wewe ni mbaya

5. Wasichana wengi wenye majina mazuri kwenye facebook au jamii forums
kama
Cute, Diva na yanma hiyo. Ki kawaida ni wabaya.

6. Wasichana wabaya hawataipenda hii post na wataweza kukoment kwa hasira.
[/QUOTE][/QUOTE]
 
Kijijini kwetu kuna mmama mmoja yeye alikuwa ameota meno kwenye lips za juu, na ana makengeza. Watu wengi walikuwa wanamuona kama kituko ila alikuwa na shape nzuri ajabu. Baba mmoja akampenda akamuoa yule mama na wakazaa veeeery beautiful kids. So Msandawe Halisi ukisema mtu mbaya wewe wengine wanamuona mzuri. Pia hata bible inasema'tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu' so kama utasema mtu mbaya inamaana na Mungu nae mbaya? No, naamini binaadam wote ni wazuri ila mazingira na hali ngumu ya maisha huwafanya watu waonekane wabaya, na nikusahihishe tu ndugu yangu SIO MTU MBAYA SEMA HAVUTII AU HANA MVUTO

Aaah! Aaah! Ng'ombe mweusi, huzaa ng'ombe mweupe.
 
Hiyo point ya mwisho imeshepu sana comments kwenye huu uzi. Watu wamekuwa na adabu ghafla. ..
 
Nikirejea kifungu namba 5 cha katiba, mie nimo kwenye kundi la wazuri.
 
Back
Top Bottom