tamu 3
Member
- Dec 11, 2024
- 88
- 216
WEWE SIO TYPE YANGU
Mwanamke epuka kumuambia mwanaume wewe sio type yangu, wewe sio wa hadhi yangu, wewe huwezi kunimudu, katafute masikini wenzako huko Mimi ni wa viwango vya juu kama huna pesa usijisumbue you can't afford me n.k.....maneno haya yamewagharimu wanawake wengi sana.
Kuna wanawake wamezika hatma zao za mahusiano kwa sababu ya maneno kama haya. Mwanamke unaweza kuyaona ya kawaida ila mwanaume anayachukulia kwa uzito mkubwa sana.
Ni mbaya sana kumuambia mwanaume wewe sio wa hadhi yangu, you can't afford me. Maneno kama haya yamekuwa sababu ya wanawake wengi kujikuta wakiingia katika mahusiano au kuolewa na wanaume wazee ambao kimsingi ni sawa na babu zao.
Wengi wa wanawake wenye haya maneno ya nyodo na dharau ni wale ambao ukitoa ngono hakuna kingine kinachobaki katika mahusiano wanachokichangia.
Wewe kama huvutiwi au humtaki mwanaume fulani wewe mwambie tu "asante lakini samahani kwa sasa nahitaji kuwa peke yangu hadi wakati mwingine" au mwambie tu HAPANA kwa njia nyingine tu ya heshima na hekima kuliko kumpa maneno ya kashfa, dharau na nyodo ambaye yatageuka kuwa kitanzi katika maisha yako yote.
Mwanamke epuka kumuambia mwanaume wewe sio type yangu, wewe sio wa hadhi yangu, wewe huwezi kunimudu, katafute masikini wenzako huko Mimi ni wa viwango vya juu kama huna pesa usijisumbue you can't afford me n.k.....maneno haya yamewagharimu wanawake wengi sana.
Kuna wanawake wamezika hatma zao za mahusiano kwa sababu ya maneno kama haya. Mwanamke unaweza kuyaona ya kawaida ila mwanaume anayachukulia kwa uzito mkubwa sana.
Ni mbaya sana kumuambia mwanaume wewe sio wa hadhi yangu, you can't afford me. Maneno kama haya yamekuwa sababu ya wanawake wengi kujikuta wakiingia katika mahusiano au kuolewa na wanaume wazee ambao kimsingi ni sawa na babu zao.
Wengi wa wanawake wenye haya maneno ya nyodo na dharau ni wale ambao ukitoa ngono hakuna kingine kinachobaki katika mahusiano wanachokichangia.
Wewe kama huvutiwi au humtaki mwanaume fulani wewe mwambie tu "asante lakini samahani kwa sasa nahitaji kuwa peke yangu hadi wakati mwingine" au mwambie tu HAPANA kwa njia nyingine tu ya heshima na hekima kuliko kumpa maneno ya kashfa, dharau na nyodo ambaye yatageuka kuwa kitanzi katika maisha yako yote.