Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
Ila amenisaidia kujua kuwa me mbaya!
Ulikuwa hujijui?...lol
Ila amenisaidia kujua kuwa me mbaya!
Hebu wacha hizo... Mbona wanaume ni wabaya ila tunawavumilia??
Kwa mungu wote wazuri,,,,,,.
mh! wabaya tuna kazii
Ulikuwa hujijui?...lol
Hatuna kazi yoyote, kwani katuumba yeye!
Tena sana tu, kwani unakula sura yake?! Tena unakuta jianaume libaya lina bonge la dem! Unachanganya mbegu tu mtoto anatoka mkaliiiii lolHebu wacha hizo... Mbona wanaume ni wabaya ila tunawavumilia??
Nlikuwa sijijui. Yan hizo sifa zote ninazo.
mh! wabaya tuna kazii
Sasa mimi ili niprove au disprove hiyo theory yake hebu nitumie picha yako... siriaz
We sio mbaya... kwani una sifa hizo?
Utaota bureee. Mtoto wa watu sitaki kesi.
ndio kaka nnazo zoote
masimango yamezidi
Mi siamini... mbona hujiiti cute...
Hamna mwanamke mbaya mbele ya mwanaume. ukiona mwanaume ana mawazo kama haya ujue kibamia at work!
eti eeh, basi sikusoma sifa vizuri
Umeone... alafu si juzi nimekulipia nauli sh 400 kwenye dalala... tena na chenji ya 100 nikamwambia konda akupe?
ahahaaaaaah! nimekumbuka my!
masimango yamezidi