kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
NA AKATOA MABINTI WAREMBO TU...
![]()
Loohh! Huyu Mdada namkumbuka. Nilikuwa namuona pindi akiwa kigori pale IST Upanga
NA AKATOA MABINTI WAREMBO TU...
![]()
KWAKO MBAYA WENGINE WANAWEKA NDANI....
![]()
1.Wa tag watu 100 picha yako kwa facebook, ukipata likes mbili tena kutoka kwa ndugu zako ujue wewe ni mbaya.
2 Mwanaume atajisikia na uhuru pindi akiongea na wewe, sababu atakuona kama wewe ni mmoja wa mwanaume mwenzao. Wenginge watapenda kusikia ushauri wako wa jinsi ya kumuingia msichana mwingine.
3. Kama ujawahi kulipiwa nauli katika daladala au usafiri wowote. Unatakiwa kufanya kitu fulani katika muonekano wako.
4. Kama katika maonyesho ya sanaa shuleni, kanisani. Siku zote wanakupanga ucheze nafasi ya Uchawi, Zimwi au shetani. Tambuwa wewe ni mbaya
5. Wasichana wengi wenye majina mazuri kwenye facebook au jamii forums kama Cute, Diva na yanma hiyo. Ki kawaida ni wabaya.
6. Wasichana wabaya hawataipenda hii post na wataweza kukoment kwa hasira.
... Naona uwezo wa mwanadam umeaongezeka, hadi kukosoa kazi ya Mungu.
sijajua hasa maana ya hii...
mimi nimepangwa kucheza kama CID katika movie fulani hapa street kwangu...
hii ina maana gani??
wakati nikiwa primary, nilicheza sana maigizo kama afande... sijajua waalimu wangu walimaanisha nini kuniweka km character wa hivyo...
Ukiona hivyo sura Kavu sana hahaaaaa
mkuu mbona mimi niko charmful kila wakati na sina userious wowote?
Haiwezekani kuna kitu tu...
Lakini ndo hali halisi tuionayo hata huku kitaa. Watu wanapenda sana kunanga wenzao.....hasa wakaka now days sijui wameingiwa na nini!
Cha ajabu ukimuangalia mtu mwenyewe anaemsema mwenzie mbaya, ye ndo anachekesha zaidi! (Mwenyezi Mungu anisamehe)