Eshy m.s
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,926
- 1,561
Kama we ni mbaya usiquote hii post yangu wala usinigongee like. Sie wenye sura kama ya Mzee Jangala tuna allergy na mabinti wenye sura kama ngumi ya mwizi mzoefu.
ahahaaaaaaaaaaah
Kama we ni mbaya usiquote hii post yangu wala usinigongee like. Sie wenye sura kama ya Mzee Jangala tuna allergy na mabinti wenye sura kama ngumi ya mwizi mzoefu.
Yani we sio mbaya hata... kweli.
ahahaaaaaaaaaaah
Asa ndo umefanya nini? hebu twende pm kwanza nikakutongoze.
Kuna uhusiano kati ya sura na papuchi?
tulia babuuu
Unataka kuninyoa? Utaanzia chini au za kichwani?
Mbona hasira... Point ya mwisho inakuhusu best...lol
kuna mdada juzi alinisimanga nina makanyagio mabaya, wakati yeye sura yake chachu kama ndimu. afadhali mie makanyagio yangu nitayaziba na viatu yeye sura yake ngumu sijui ataifunika na rambo!
Kuota naota kila nilalapo... so kubadili aina ya ndoto haitakuwa mbaya.
Yawezekana complexion yako iko kwenye uweusi zaidi halafu uko mkimya na serious muda mwingi. Yote hayo ni haiba/taswira ya kipolisi polisi.sijajua hasa maana ya hii...
mimi nimepangwa kucheza kama CID katika movie fulani hapa street kwangu...
hii ina maana gani??
wakati nikiwa primary, nilicheza sana maigizo kama afande... sijajua waalimu wangu walimaanisha nini kuniweka km character wa hivyo...
Yawezekana complexion yako iko kwenye uweusi zaidi halafu uko mkimya na serious muda mwingi. Yote hayo ni haiba/taswira ya kipolisi polisi.
Ni JB na Yerusalem yake au producer tofauti? Inatoka lini hiyo cd ndugu? Inaitwaje? 'Excel Akamata Jambazi' au?hapo mkuu umenikamata... seriousness ninayo japo napenda sana kuwa charmful..
actually, i thank almighty GOD, i did my first scene yesterday... duh! it was tough.. siku nzima niko location