Ethan Cruz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 231
- 331
Unavyodhani ndivyo, sivyo na huenda ukashangaa sana nikikuambia huu ukweli kuhusu wanawake. Huenda ukafikiria wanawake wengi hupenda wanaume wenye pesa na magari lakini sivyo hata kidogo. Kuna tofauti ya kuwa na hisia za mapenzi na kumpenda mtu ili aweze kuyasukuma maisha yako. Asilimia kubwa ya wanawake walio kwenye uhusiano na wanaume wenye pesa husemekana kutoka nje ya ndoa.
Wengi wa Hawa wanawake hutafuta vijana wadogo na hata watu wa mijengo huku wakidai wanaume wao hawana mapenzi na kila siku wako kazini wakitafuta pesa. Hii ni Jambo hatari sana kwa wanandoa na inamaanisha huyo mwanamke hakuwa na hisia zote za kimapenzi mlipooana ila alikufuata sababu ya pesa zako.
Wanawake wengine hudai hapo mwanzoni mapenzi yalikuwa motomoto ila mambo yakabadilika na mda wa mapenzi ukachukuliwa na shughuli zingine ndio maana wanaona ni heri watafute usaidizi huko nje.
Inasemekana kuwa mapenzi hupatikana kwa familia maskini. Mda mwingi wao huwa wako pamoja na wao huongelea ndoa na familia zaidi ya matajiri. Hii haimanishi basi usiwe tajiri ama usitafute pesa, ni onyo tu ndio uweze kujua kuna changamoto nyingi na unafaa kuwa makini na familia yako na ikiwezekana uweze kutenga mda na familia yako.
NYINYI MNASEMAJE kwa hilo
what do you think of that folks
Wengi wa Hawa wanawake hutafuta vijana wadogo na hata watu wa mijengo huku wakidai wanaume wao hawana mapenzi na kila siku wako kazini wakitafuta pesa. Hii ni Jambo hatari sana kwa wanandoa na inamaanisha huyo mwanamke hakuwa na hisia zote za kimapenzi mlipooana ila alikufuata sababu ya pesa zako.
Wanawake wengine hudai hapo mwanzoni mapenzi yalikuwa motomoto ila mambo yakabadilika na mda wa mapenzi ukachukuliwa na shughuli zingine ndio maana wanaona ni heri watafute usaidizi huko nje.
Inasemekana kuwa mapenzi hupatikana kwa familia maskini. Mda mwingi wao huwa wako pamoja na wao huongelea ndoa na familia zaidi ya matajiri. Hii haimanishi basi usiwe tajiri ama usitafute pesa, ni onyo tu ndio uweze kujua kuna changamoto nyingi na unafaa kuwa makini na familia yako na ikiwezekana uweze kutenga mda na familia yako.
NYINYI MNASEMAJE kwa hilo
what do you think of that folks