Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 15,822
- 37,811
Utakuwa hujasoma wew ukaelewa
Hakunaga huo upuuz na mwanamke anaejua maana ya ndoa haachwi na mwanaume hawez mfukuza mkewe kwa kusema talaka hakuna Sheria hiyo
Na Kama thamani inaonekna kwa kupimwa hivo kunawanaume wanaotoa talaka kwa kudaiwa talaka na wake zao kwaiyo tusema wanaume hawana thamani??
Hakunaga huo upuuz na mwanamke anaejua maana ya ndoa haachwi na mwanaume hawez mfukuza mkewe kwa kusema talaka hakuna Sheria hiyo
Na Kama thamani inaonekna kwa kupimwa hivo kunawanaume wanaotoa talaka kwa kudaiwa talaka na wake zao kwaiyo tusema wanaume hawana thamani??