Tusababu hutu hutu ndio tunaleta matatizo baadae. Don't rush when you're doing serious issues.
Na cku hizi hatuoi mpaka wazae
Hako sio ka sababu. Unaweza ukalala wanawake wengi au wewe ukalalwa na wanaume wengi. Lakini kulala mtu sio pasipoti ya kuoa.
Hii imekuwa kasumba ya wadada walio wengi mnakuwa na uhusiano let say miezi 4 au 6.
Hujamfahamu zaidi anaanza kukueleza lazima muende mkajitamburishe. Jamani unajua kwenda kwa wazazi ni hatua kubwa sana.
Anataka akupeleka haraka haraka.
Hapo amekukubali...na wenzio Wengine hata nyumba kuoneshwa kwa mbali hawaoneshwi...
kama hali ni hii ngoja niendelee kuitunza bikra yangu...
Mmmmmmh hiyo ni ya nyuma au??
mbele na nyuma.
Hongera
wapi nikuje nazitafutaga kwa UDI na uvumba kwa gharama yoyote
hii ni maalum kwa Mume wangu...
mchina au
kama hali ni hii ngoja niendelee kuitunza bikra yangu...