Mwanamke anang'ang'ania ukajitambulishe kwao

Mwanamke anang'ang'ania ukajitambulishe kwao

huwenda anataka kujua how seroius you are,na labda kuna mtu mwingine anamsumbua so she wants to be on the safe side,asije akamtosa yule kumbe na wewe ni mpinda njia akaambulia patupu
 
huwenda anataka kujua how seroius you are,na labda kuna mtu mwingine anamsumbua so she wants to be on the safe side,asije akamtosa yule kumbe na wewe ni mpinda njia akaambulia patupu

Jaribio hilo halina mantiki ni vyema kuelezana ukweli sio kujaribiana kwa vitu kama hivyo.
 
atakuwa ana msongo wa ndoa huyo si bure hiyo haraka haraka siajabu ma shosti wake tayari wana miji.Anyway sikuhizi familia sijui zikoje mimi kwetu ni mwiko. Mtu anakuja kufahamika kwa wazazi siku ya kuleta mahari ndo anamvisha pete mchumba wake hapo mkwe ndo anafahamika. The same applied kwa mtoto wa kiume wao kumjua ni pale ambapo anakuwa mchumba wako rasmi ushatoa posa kabisa
 
atakuwa ana msongo wa ndoa huyo si bure hiyo haraka haraka siajabu ma shosti wake tayari wana miji.Anyway sikuhizi familia sijui zikoje mimi kwetu ni mwiko. Mtu anakuja kufahamika kwa wazazi siku ya kuleta mahari ndo anamvisha pete mchumba wake hapo mkwe ndo anafahamika. The same applied kwa mtoto wa kiume wao kumjua ni pale ambapo anakuwa mchumba wako rasmi ushatoa posa kabisa

Umesema vema
 
kwanini sasa?

ss kwetu ukimpeleka mwanamke kumtambulisha basi ujue ndo ushaoa huyooo...habari leo leta huyu, kesho peleka yule ni marufuku ....ni msimamo wa familia na kila mmoja wetu anaujua so mambo ya kukurupuka noma kabisa.
 
Uyooo anawenge na kuolewa hajui anachokikimbilia ndoa si lelemama miezi minne michache sana kujitambulisha....
 
Back
Top Bottom