Heaven, nakumbuka sana ila huko siko nshanyofoka na siwezi tena kuzungumzia hayo makitu.
nimekusoma wangu........
Test before use. Au hujui mfumo wa kawaida?
kwao wananifahamu karibia familia nzima tena nakunbuka ilikuwa ndo kwanza mwezi mmoja tu...lakini hata kile kituo cha kushuka ili uende kwetu sijawahi kumuelekeza huu mwaka wa pili sasa.
Uchumba ni makubaliano, hata kama ni miaka 3, 4, 5, 6 ni sawa tu so long as mmekubaliana.
Ndo umetest sasa kifuatacho??
Wewe ni miongoni mwa wasichana wachache sana wa aina yako waliobaki hapa tz. Hongera sana hadi nimekutamani ghafla.
unazifahamu bikira za jf wewe? utatamani hadi wenye mahandaki.
kaka acha uoga nenda ukiona hivyo ujue uko peke yako for the time being mngekuwa wengi angekwambia nakaa masaki kumbe anakaa tandale we nenda tu kujitambulisha sio kulipa mahari wala sio kuoa ni mwanzo wa safari acha uoga na shukuru Mungu
Kila kitu kina mwanzo wake huwezi predict future. Inaweza noga ikawa kweli.
Ulitaka ukajitambulishe baada ya miaka mingapi?