Mwanamke anang'ang'ania ukajitambulishe kwao

Mwanamke anang'ang'ania ukajitambulishe kwao

Unataka kufahamiana kwa miaka 6?.....uchumba sugu siku hizi no......get serious
mwallu sijaongelaea miaka angalau kidogo vitu vya msingi uvijue. Huwezi ukapelekwa pelekwa.
 
Last edited by a moderator:
Ndio hata yeye alikua hanifahamu wakati anatembea na mimi.
Ni hamu tu imetuunganisha.

Kwa nn usimweleze wazi kuwa me nataka kukula wewe kwa hamu tu ya Leo then Kila mtu ten zake.
 
Kwa nn usimweleze wazi kuwa me nataka kukula wewe kwa hamu tu ya Leo then Kila mtu ten zake.

Kila kitu kina mwanzo wake huwezi predict future. Inaweza noga ikawa kweli.
 
Back
Top Bottom