Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
mjapan
zote wamuwekea yeye
mjapan
Wewe ni miongoni mwa wasichana wachache sana wa aina yako waliobaki hapa tz. Hongera sana hadi nimekutamani ghafla.
Hii imekuwa kasumba ya wadada walio wengi mnakuwa na uhusiano let say miezi 4 au 6.
Hujamfahamu zaidi anaanza kukueleza lazima muende mkajitamburishe. Jamani unajua kwenda kwa wazazi ni hatua kubwa sana.
Anataka akupeleka haraka haraka.
zote wamuwekea yeye
hahaaaaaa
admin hajasafiri kwenda Mbeya????
Anataka akatamburishwe au akatambulishwe ?
Hahahaaa wewe binti acha kunivunja mbavu. Kwa kifupi mimi nimeshanyofolewa kwenye hilo group lenu. So sina taarifa tena kama kasafiri ama la. Umejuaje wewe? Utakua mganga siku si nyingi.
hhaaaaaaa umenichekesha hapa balaa... washakunyofoa.. lol nimecheka sana Skype..
kwanini wamekunyofoa au
atakua malkia kafanya yake....
Unatisha sana, hebu ya kaisari tumwachie kaisari au unasemaje?
umesahau ile thread ya magroup na picha za kutisha
Magonjwa ya kurithi
Hii imekuwa kasumba ya wadada walio wengi mnakuwa na uhusiano let say miezi 4 au 6.
Hujamfahamu zaidi anaanza kukueleza lazima muende mkajitamburishe. Jamani unajua kwenda kwa wazazi ni hatua kubwa sana.
Anataka akupeleka haraka haraka.
Hii imekuwa kasumba ya wadada walio wengi mnakuwa na uhusiano let say miezi 4 au 6.
Hujamfahamu zaidi anaanza kukueleza lazima muende mkajitamburishe. Jamani unajua kwenda kwa wazazi ni hatua kubwa sana.
Anataka akupeleka haraka haraka.
Aise ngoja na wewe yakukute.
Hapa sio suala la miaka. Jambo kubwa ni kufahamiana. Unajua kukutana kimjini mjini!!!?
Unataka kufahamiana kwa miaka 6?.....uchumba sugu siku hizi no......get serious