EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,281
- 20,899
Umeshiriki ngono na kahaba halafu unqsingizia code
Kwa hiyo unanishauri nini sasa?Umeshiriki ngono na kahaba halafu unqsingizia code
Unaanzaje sasa 😊
Uko bize madam!Unaanzaje sasa 😊
Kidogooo😅Uko bize madam!
Huwa na misi kukuona humu hasa huyo mdada ulomweka kwenye avatar kuna muda huwa namzoom namwangaliaa...Kidogooo😅
😅Huwa na misi kukuona humu hasa huyo mdada ulomweka kwenye avatar kuna muda huwa namzoom namwangaliaa...
Karibu tena ila nimeamini kweli vitu vizuri havikutani.
Na mimi ndo nimeanza kuzitafuta sasa 😅Karibu tena ila nimeamini kweli vitu vizuri havikutani.
Nilipokuwa mbali na pesa wewe ulikuwa karibu humu jf, sasa pesa ipo ya kutosha wewe ndio uko mbali, kumbe ndiyo maana mzee hupenda kunambia yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine mpunga.
Ooo.. unakosea madam pesa haitafutwi inategwa, kesho nitakupa darasa kuhusu hili kama ambavyo wewe ulitaka kunipa darasa kuhusu kuongea lugha ya Malkia.Na mimi ndo nimeanza kuzitafuta sasa 😅
Soga kivipi mkuu?Kumbe hii ni soga
Mkuu kwa mfano hapa napewa vipi kesi?tena muwe makini sana ndugu zanguni usije pata kesi ya kubaka
Yaah kuandika muda mrefu ni kazi ngumu.Hahahaaaaa et mkitaka niueni,nimecheka sana aisee
Inategwaje JamaniOoo.. unakosea madam pesa haitafutwi inategwa, kesho nitakupa darasa kuhusu hili kama ambavyo wewe ulitaka kunipa darasa kuhusu kuongea lugha ya Malkia.
Hahaha ulikuwa unaigiza kama nani Mzee majuto au Mzee magariMiaka michache nyuma tulianzisha kikundi cha sanaa ya uigizaji mtaani kw