Rebuild
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,664
- 7,258
Katika haya Maisha kuna up and down nyingi saana.
Unajikuta unapata Hela lakini mwisho wa siku inapotea unaanza upya Tena na kujipa Imani utatoboa Tena.
Huwa simcheki bro anaekoto makopo ili aende akauze kwajili ya kupata mkate wake.Kumbuka hela haitaki mwanaume muwoga kwahiyo bro acha uwoga kwenye kutafuta Huu mchezo wa Maisha.
Wewe ambaye umefanikiwa katika harakati zako basi usinicheke Mimi sababu Sina Hela ukaona sina akili mana always meza inageuka isafishwe kwajili ya wateja wengine.
Bro kama huna Hela utapitia vitu hivi katika Maisha na lazima uvikubali Tu.
Usaliti
Maumivu
Upweke
Kudharauliwa
Lakini badae unakuja kuwa MONSTER 💀.
hii hatua Sasa inamuondoa kutoka kuwa Kijana na kuwa MWANAUME mwenye misimamo Yake.
Tupambane kaka.
Unajikuta unapata Hela lakini mwisho wa siku inapotea unaanza upya Tena na kujipa Imani utatoboa Tena.
Huwa simcheki bro anaekoto makopo ili aende akauze kwajili ya kupata mkate wake.Kumbuka hela haitaki mwanaume muwoga kwahiyo bro acha uwoga kwenye kutafuta Huu mchezo wa Maisha.
Wewe ambaye umefanikiwa katika harakati zako basi usinicheke Mimi sababu Sina Hela ukaona sina akili mana always meza inageuka isafishwe kwajili ya wateja wengine.
Bro kama huna Hela utapitia vitu hivi katika Maisha na lazima uvikubali Tu.
Usaliti
Maumivu
Upweke
Kudharauliwa
Lakini badae unakuja kuwa MONSTER 💀.
hii hatua Sasa inamuondoa kutoka kuwa Kijana na kuwa MWANAUME mwenye misimamo Yake.
Tupambane kaka.