brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
Mwanamke mmoja huko Bukoba apoteza nyeti zake baada ya kufumaniwa na mume wa mtu gesti.
wanamsaidia kutafuta nyetiKwahiyo hapo amekamatwa kwa kosa la kufumaniwa au polisi wanamsaidia kwa kuwa kapoteza NYETI?
wanamsaidia kutafuta nyeti
Hahhahahaaaa badala ya kumpeleka kwenye tiba wanampeleka polisiKwahiyo hapo amekamatwa kwa kosa la kufumaniwa au polisi wanamsaidia kwa kuwa kapoteza NYETI?
Cha kushangaza amefumaniwa mwanamke bila mwanaume! Mambo yaleyale ya siku zote.Hahhahahaaaa badala ya kumpeleka kwenye tiba wanampeleka polisi
Ukandamizaji unaendeleaCha kushangaza amefumaniwa mwanamke bila mwanaume! Mambo yaleyale ya siku zote.
Kweli tunawaonea, sawa na binti kupata mimba shuleni akafukuzwa huku mwanaume 'mvulana' akiendelea na shule.Cha kushangaza amefumaniwa mwanamke bila mwanaume! Mambo yaleyale ya siku zote.
Labda huyo mwanaume hajakamatwa kwa sababu ni kadaUkandamizaji unaendelea
Mnadhalilisha mama wa watu kwa kuweka picha yakeHii dawa mimi ninayo, kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane
tumbo lilivimba nasikia wakampeleka hospital kufanyiwa upasuaji aweze kukojoa
una uhakika gani kama tuna msingizia , source ya hii habari ni Tanzania habariMnadhalilisha mama wa watu kwa kuweka picha yake