KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Sa huyo jamaa ka anauwezo wa kuchomoa nyeti, kwanini asichomoe ya mdada yeyote pale bungeni au kwe bongo movies akawa anajilia bure kuliko kwenda kzitafuta?!
Sipati picha izo sehemu zikiwa hazipo panakuwaje maana kwa mwanaume panakuwa flat
Izi dawa zinazofanikisha matukio kama haya ndo za kusambaza inchi nzima ili watu wakome udokozi
Usiambiwe, lol nasikia hata kitundu cha kukojolea jamaa kapita nacho! Kasheshe dada wa watu akibanwa na mkojo, mbona atatamani kutobolewa kikojoleo kingine kwa "mdenge'!sipati picha ...inakuwa flat haipo kabisa?
Mhh ngumu kumeza, labda ningeshuhudia mwenywe
Hii dawa itafaa sana kwa waizi wa EPA, Ritz1, Home shopping center na wengineo wengi.
Sa huyo jamaa ka anauwezo wa kuchomoa nyeti, kwanini asichomoe ya mdada yeyote pale bungeni au kwe bongo movies akawa anajilia bure kuliko kwenda kzitafuta?!
Hii ni habari ya uongo!
Binafsi nimeshiriki kutafuta ukweli wa hili jambo kama mwandishi wa habari na kuthibitsha kuwa ni uongo kabisa.
huyo mama ana matatizo ya akili.Polisi walimchukau kituoni kupunguza utitiri wa watu waliokuwa wakimiminika kutazama hicho kioja.
kwa kumtazama huyu mama/dada, inaonesha anazo tu sehemu zake na ziko kamili! Huu ni uzushi tuu!
Sa huyo jamaa ka anauwezo wa kuchomoa nyeti, kwanini asichomoe ya mdada yeyote pale bungeni au kwe bongo movies akawa anajilia bure kuliko kwenda kzitafuta?!
Huyu jamaa namfahamu akikusamehe sana anakurudishia ila utapata za tembo
Natamani kuwa Tomaso...Mpaka nione ndio ntaamini.....
pia lichanganyikiwa akiambiwa funua anafua kuna picha nimebahatika kupata ila siwez kuziweka sababu ya kimaadili ila yuko flat ana kitobo kidogo tu,kama sindano
wewe unabishana na daktari aliozibitisha kuwa sehemu zake za siri zimepotea,au unataka nikuwekee na picha kuonyesha alivyozibwa!!! kimaadili siwez kuiweka.
jipange
wewe unabishana na daktari aliozibitisha kuwa sehemu zake za siri zimepotea,au unataka nikuwekee na picha kuonyesha alivyozibwa!!! kimaadili siwez kuiweka.
jipange
kwa hio wewe uwa natambua watu kama wana sehemu zao kw kuwaangalia? Hii habari nimezibitisha ni ukweli .ata hivo si lazima watu wote waamin,ata yesu au mtume walivyokuja si watu wote waliwaamin