Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Kwanini Wazanzibar wawalaumu Watanganyika na sio Wazanzibar wenzao? Nani kawaambia wananchi wa Tanganyika wanaihitaji Zanzibar sana? Kama ni viongozi ndio wanaonekana kuihitaji Zanzibar je wale viongozi wao hawaihitaji Tanganyika? Shein na Sif wote si Wazanzibar? Kinachowaleta huku ni nini kama hata wao hawaihitaji Tanganyika? Wawe na sauti moja na sio tena wanaume kulalamika kukaliwa kimabavu na Tanganyika. Wana serikali yao, ardh yao, bahar yao na vinginevyo sasa wavitumie kuifanya nchi yao iwe Singapore.
Wazanzibar kama wote ni wamoja basi ingekuwa rahisi sana kujitoa, wao wenyewe wana upemba na uunguja ambao ndio kikwazo kikubwa zaid kuliko Tanganyika. Waanze kutibu hilo gonjwa kwanza halafu watajitoa kirahisi sana kwenye muungano wasiouridhia.
Kama CCM na CUF wote kwa pamoja wakakubaliana kujitoa mbona Tanganyika haitakuwa na nguvu tena kulazimisha? Sasa kunajitokeza kundi linasema hatutaki muungano, lingine linashinda Dar kushangaa mwendokasi(joke) na kuliita lile kundi lingine ''wahuni tu wale sisi tuko pamoja na msije mkathubutu hata kuwasikiliza kwanza wana uraia wa Oman wale wanataka kutuvuruga tu'' sasa Tanganyika ifanyeje?
Anzeni kuhama Tanganyika na kubeba kila kilicho chenu na wote mnaonufaika na Tanganyika jitoeni, mnaosoma hapa rudini kwenu mkasome Suza na bodi yenu ya mikopo si ipo na wizara yenu ya elimu itaratibu kila kitu, na kila anayemiliki ardh awarudishie Watanganyika kwani wao hawamiliki ardhi kule, na haya maduka mliyofungua kwenye nchi ya kikoloni yarudisheni kwenu mkauziane wenyewe huko.
Mtanganyika haihitaji Zanzibar kama Mzanzibar asivyoihitaji Tanganyika, viongozi wenu ndio tatizo, waliombwa wakakubali wenyewe sasa waambieni viongozi wenu wote wajitoe kwa Mtanganyika.
Watanganyika siku wakiamka na kudai Tanganyika yao na kika ambaye sio Mtanganyika aende anakotokea, msije mkawaita wabaguzi. Wazanzibar wanataka kujifanya Tanganyika ni Kanisa na wao ni msikiti. Anzeni kugomea kitu chochote kinachotoka kwa mkoloni ili ajue hatakiwi kabisa, na sio mkitifuana na Jecha mnashinda masaki kwa Mzee Lowasa, mkoloni wa Tanganyika.
 
Hii habari ni ya lini? Maana sijaona mantiki Wala maudhui.. Anadai kwa nani huo Uhuru? Na Zanzibar anayoiita Tajiri nilikuwa ni Mali ya sultan so atueleze katumwa na sultan ? Zanzibar mwaka 1964 isingeachwa iendelezwe na warafi Wa madaraka wakiuana kila siku na Dunia ikae kimya... Huyo sultan ndie mwenye haki ya kudai Uhuru kutoka Tanganyika na sio lizembe lolote vivu la lenye chuki na pia aelewe kuwa Sultan hatoweza tena kurejea uarabu unamnyima sifa
Hivi unajua kama tanganyika ilitawaliwa na malkia Elizabeth? [emoji15] kwahio hata tanganyika mnaogopa wazungu wasirudi tena au??[emoji15] Soma historia mkuu acha kasumba za kiccm hazina maana kwenye maisha yetu.
 
Unajitambulisha huku passport yako imeandikwa Tanzania ?Ni uwehu.. Mbona watu Wa kilwa walikuwa na Dora yao kina Dau hawafanyi uwehu huo! Tuna kina Rage hawajitambulishi kama wasomali wakiwa nje ya nchi... Watu Wa nje hawatambui kwa maneno ya mdomo wanaangalia paper huo ujinga mtadanganywa nyie tu sababu mu wajinga
Mkuu Duduwasha, utambulisho rasmi wa kimataifa ni passport, nothing more, nothing less, mtu akiisha miliki passport ya Tanzania, ni Mtanzania, it doesn't matter anajitambulishaje, utambulisho wowote nje ya passport ni kujifurahisha, hivyo waacheni Wanzanzibari wajifurahishe kwa uzanzibari wao wa ndani ya mioyo yao, ila uraia wao ni watanzania wenzetu, nchi ni moja tuu, JMT, na uraia pía ni mmoja tuu, raia wa JMT, ila kwa Zanzibar, wana utambulisho rasmi wa ndani kwa kitambulisho cha ukaazi ambacho ni ruksa kujitambulisha popote kwenye social forums ila officially, they are Tanzanians.

Paskali
 
huu muungano una miaka 52 unauhoji leo? athari na gharama za kuuvunja huwezi kuzitathmini, huku tanganyika sijui kumejaa wazanzibari millioni ngapi mfano Tanga na Dar tu wamejaa wazenji kibao wakuja na waliozaliwa sasa unataka muungano ufe wazenji wote warudishwe zenji una nyumba na kazi za kuwapa? unazo mashua na nyavu za kutosha weye? unayo mapembe ya kutosha kuwalisha? unazo shule za kuwasomesha? na halafu unajua upinzani na ubaguzi uliopo kati ya waunguja na wapemba? ukivunja muungano na bara utavunja pia muungano wa pemba na unguja halafu mtaanza kubaguana waunguja wenyewe kwa wenyewe na unguja mtajigawa na kila ethnic group ya unguja itadai uhuru wake na kila ethnic group ya pemba nayo itadai uhuru wake na mtazalisha labda nchi nne au zaidi kwa zenji moja yenye kaeneo kiduchu! ukivunja muungano na bara hata hiyo Zanzibar itapotea mtakuwa na nchi kibao zinaitwa Unguja, Pemba , Tumbatu , Mwanakwerekwe, Kiembe Samaki, Fuoni na BuBuBu! nadhani we have to think big na labda pia tuwaze maendeleo na usalama wa Tanzania na tuachane na habari ya kuhoji muungano!
Hizo ndio propaganda za kanisa .Mbona wa Zanzibar wako Kenya, Uganda Somalia,oman.uae Yemen.comoro msumbiji Kwa maalfu . Wajaluo ,wahaya.wamasai.na wengineo wapo Kenya Uganda .Rwanda nk Na Kwa nini Kenya haiwaambii wanataka kujitenga Na Tanganyika .Ni Kwa sababu hamjaivamia Na kuweka kiongozi mnayemtaka nyinyi . Mara unguja itajitenga Na Pemba ,maneno haya mumeyaanzisha nyinyi baada ya uvamizi wenu kuufanya ni halali
 
Unajitambulisha huku passport yako imeandikwa Tanzania ?Ni uwehu.. Mbona watu Wa kilwa walikuwa na Dora yao kina Dau hawafanyi uwehu huo! Tuna kina Rage hawajitambulishi kama wasomali wakiwa nje ya nchi... Watu Wa nje hawatambui kwa maneno ya mdomo wanaangalia paper huo ujinga mtadanganywa nyie tu sababu mu wajinga

= Dola

Hata passport zinaonyesha umezaliwa wapi.
 
Mkuu Duduwasha, utambulisho rasmi wa kimataifa ni passport, nothing more, nothing less, mtu akiisha miliki passport ya Tanzania, ni Mtanzania, it doesn't matter anajitambulishaje, utambulisho wowote nje ya passport ni kujifurahisha, hivyo waacheni Wanzanzibari wajifurahishe kwa uzanzibari wao wa ndani ya mioyo yao, ila uraia wao ni watanzania wenzetu, nchi ni moja tuu, JMT, na uraia pía ni mmoja tuu, raia wa JMT, ila kwa Zanzibar, wana utambulisho rasmi wa ndani kwa kitambulisho cha ukaazi ambacho ni ruksa kujitambulisha popote kwenye social forums ila officially, they are Tanzanians.

Paskali

Unaonesha una almost nil exposure au ni ufinyu tu wa kufikiri au ni njaa tu.

Kubeba passport ya nchi fulani hakukuondolei asili yako na wala hakukufanyi kutoweza kujitambulisha kwa Uzanzibari wako au kwa wewe Usukuma wako.

Isitoshe, kuna Watanzania wengi leo hii wapo na passports za nje na wanaishi nje lakini haiwazuwii wao kujitambulisha kama Watanzania. Ni jambo la kawaida kabisa.

Sijakutana na Mzanzibari asiyejitambulisha kama Mzanzibari huko nje. Awe anaeupenda au asiyeupenda muungano.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
HAYO NI MANENO YA KARDINALI PENGO NA AKINA LUKUVI NA KANISA LA KIKATOLIKI

Never argue with fools as people might not notice the difference lest you yourself are assumed as the worst idiot! How have the Cardinal or the Catholic Church come into this argument! Hukuenda shule kwa sababu ya kuogopa umande that is why you are trying to incite Tanzanians to fight against each other since you may find families consist of different faith, they co-exist(husband and wife of different faith).
 
Never argue with fools as people might not notice the difference lest you yourself are assumed as the worst idiot! How have the Cardinal or the Catholic Church come into this argument! Hukuenda shule kwa sababu ya kuogopa umande that is why you are trying to incite Tanzanians to fight against each other since you may find families consist of different faith, they co-exist(husband and wife of different faith).

Jesus said don't say to the people fools. Mathew 5:22. .Nilifikiri utasema Lete ushahidi wa maneno yako kumbe umeleta jaziba za mtu aliyekuwa fooled Na kanisa!!!!
 
huu muungano una miaka 52 unauhoji leo? athari na gharama za kuuvunja huwezi kuzitathmini, huku tanganyika sijui kumejaa wazanzibari millioni ngapi mfano Tanga na Dar tu wamejaa wazenji kibao wakuja na waliozaliwa sasa unataka muungano ufe wazenji wote warudishwe zenji una nyumba na kazi za kuwapa? unazo mashua na nyavu za kutosha weye? unayo mapembe ya kutosha kuwalisha weye? unazo shule za kuwasomesha? na halafu unajua upinzani na ubaguzi uliopo kati ya waunguja na wapemba? kwakuwa mna dhana na dhambi ya ubaguzi na mmeishiba hadi kwenye damu mkivunja muungano na bara pia mtavunja pia muungano wa pemba na unguja halafu mtaanza kubaguana waunguja wenyewe kwa wenyewe na unguja mtajigawa na kila ethnic group ya unguja itadai uhuru wake na kila ethnic group ya pemba nayo itadai uhuru wake na mtazalisha labda nchi nne au zaidi kwa zenji moja yenye kaeneo kiduchu! narudia kwakuwa dhana na dhambi ya ubaguzi imewajaa mkivunja muungano na bara hata hiyo Zanzibar itapotea mtakuwa na nchi kibao zinaitwa Unguja, Pemba , Tumbatu , Mwanakwerekwe, Kiembe Samaki, Fuoni na BuBuBu! nadhani we have to think big na labda pia tuwaze maendeleo na usalama wa Tanzania na tuachane na habari ya kuhoji muungano! Tanganyika ina uwezo mkubwa wa zoezi la Deportation waulize warundi na wanyarwanda jinsi tunavyowarudisha kwao hatuangalii sura , umri , jinsia wala umekuja lini au ulizaliwa wapi na lini bongo , zoezi likianza ni mwendokasi tu lawama baadae ukiwa Bububu njiani kuelekea kwenu Kiwengwa!

Athari watakazopata wazanzibari wewe zinakuhusu nini mtoto alililia wembe mpe na mchuma Janga hula na wa kwao ,ukijitia za mtonga maji ya dafu utaoshea donda. Hivyo watanganyika tuache watu wapate watakacho nimechoka kusikia habari hizi
 
. Mimi ni Mtanganyika lakini kwa hayo uliyosema u muongo wa kutupwa.

Katika zaidi ya miaka 2000 ya historia ya Zanzibar ni lini waliuana na kuchinjana? Zaidi ya mwaka 1964 kwa mapinduzi yaliyopangwa huko kwetu?

Unachosahau ni kuwa zanzibar ya sasa na miaka hiyo 2000 ni vitu viwili tofauti. Zanzibar ya leo imegawanyika hata kwa suala la muungano lenyewe. Kuna tension ya u CUF na u CCM, pia uPemba. A uUnguja. Hii migawanyiko yote imepotezwa au inavunjwa nguvu na uwepo wa serikali ya JMT. Ondoa JMT then niambie nani atamsikiliza na kumtii nani huko Zanzibar. Bila Muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar!!!! Kutakuwa na Pemba na Unguja, kisha CUF na CCM, kisha wabara na wavisiwani. Simple. Mambo mengine hayataki ujuaji.
 
Sisi wazanzibari tuna tabia za jecha hata msituache tuendelee kuwa muungano kwani muungano watuweka wamoja.we wataka duka langu hapa mbeya nilache
 
Unachosahau ni kuwa zanzibar ya sasa na miaka hiyo 2000 ni vitu viwili tofauti. Zanzibar ya leo imegawanyika hata kwa suala la muungano lenyewe. Kuna tension ya u CUF na u CCM, pia uPemba. A uUnguja. Hii migawanyiko yote imepotezwa au inavunjwa nguvu na uwepo wa serikali ya JMT. Ondoa JMT then niambie nani atamsikiliza na kumtii nani huko Zanzibar. Bila Muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar!!!! Kutakuwa na Pemba na Unguja, kisha CUF na CCM, kisha wabara na wavisiwani. Simple. Mambo mengine hayataki ujuaji.
Hizo ni propaganda za kanisa ,hebu jaribuni kuweka uchaguzi utaosimamiwa Na UN muone huo upemba Na uunguja , mnajua mtaumbuka vibaya Sana .
Visiwa mnavyo kuanzia Mafia mpaka Ukerewe viko hoi bin taabani . Kule mafia hata maji ya kunywa ni shida .wamesaidiwa Na Islamic relief kuchimba visima nyinyi mumeshindwa mnahangaishwa kuupiga vita uislamu Zanzibar Na kuwabambikizia kesi za ugaidi kwenye magereza ya Tanganyika
 
Never argue with fools as people might not notice the difference lest you yourself are assumed as the worst idiot! How have the Cardinal or the Catholic Church come into this argument! Hukuenda shule kwa sababu ya kuogopa umande that is why you are trying to incite Tanzanians to fight against each other since you may find families consist of different faith, they co-exist(husband and wife of different faith).

Anaye incite vita ni huyu anayepiga vita uislamu Na kuwakamata waislamu Na kuwatesa katika magereza ya Tanganyika Kwa kuwabambikizia kesi za kigaidi Na umekaa kimyaa humsemi
 
Unaonesha una almost nil exposure au ni ufinyu tu wa kufikiri au ni njaa tu.

Kubeba passport ya nchi fulani hakukuondolei asili yako na wala hakukufanyi kutoweza kujitambulisha kwa Uzanzibari wako au kwa wewe Usukuma wako.

Isitoshe, kuna Watanzania wengi leo hii wapo na passports za nje na wanaishi nje lakini haiwazuwii wao kujitambulisha kama Watanzania. Ni jambo la kawaida kabisa.

Sijakutana na Mzanzibari asiyejitambulisha kama Mzanzibari huko nje. Awe anaeupenda au asiyeupenda muungano.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.
Mimi sijazungumzia uasili wa mtu wala mtu anapenda kujitambulisha vipi, mimi nimezungumzia utambulisho rasmi ambao hakuna raia yoyote wa kitu kinachoitwa Zanzibar kwa sababu Zanzibar sio nchi, hivyo haijalishi Wazanzibari wanajitambulisha vipi kama Wazanzibari, huko ni kujifurahisha tuu na hakuna yoyote anayezuiliwa kujitambulisha vyovyote, lakini utambulisho rasmi ni Watanzania na sio Wazanzibari!.

Mtu unaweza kujifurahisha kwa kuiita nyumba yako nchi ya Pasco Mayalla, na kibanda chako ukakiita Ikulu ya Pasco Mayalla na mimi kujiita rais wa nchi ya Pasco Mayalla anayeishi Ikulu yake, nitakuwa sijafanya kosa lolote vivyo hivyo kwa Mzanzibari kujitambulisha vyovyote ili kujifurahisha ila hakuondoi facts kuwa uraia wao ni wa Tanzania pekee, hakuna raia wa Zanzibar bali Kuna wakaazi wa Zanzibar.

Paskali
 
Unachosahau ni kuwa zanzibar ya sasa na miaka hiyo 2000 ni vitu viwili tofauti. Zanzibar ya leo imegawanyika hata kwa suala la muungano lenyewe. Kuna tension ya u CUF na u CCM, pia uPemba. A uUnguja. Hii migawanyiko yote imepotezwa au inavunjwa nguvu na uwepo wa serikali ya JMT. Ondoa JMT then niambie nani atamsikiliza na kumtii nani huko Zanzibar. Bila Muungano hakuna kitu kinaitwa Zanzibar!!!! Kutakuwa na Pemba na Unguja, kisha CUF na CCM, kisha wabara na wavisiwani. Simple. Mambo mengine hayataki ujuaji.

Kwa nini mnaumwa Na wa Zanzibar kutaka kupigana wa unguja Na wa Pemba? Waburundi wanapigana mbona hamwendi kuwavamia kuzuia mapigano ya Watusi Na wahutu ?? Ni Kwa sababu Zanzibar kuna uislamu Na ni lazima upigwe vita hilo ndilo lengo la kanisa, Otherwise kajiungeni Na Rwanda Na Burundi kuzuia mauwaji
 
Back
Top Bottom