Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Muungano wa kijinga jinga ulisalia Duniani yaani Nchi ndogo kisiwa kidogo kimejilundikia utitiri wa watumishi,majimbo ya ubunge ya Zanzibar ni sawa na eneo analotawala Mwenyekiti wa kitongoji Tanganyika,kuna wabunge wengi hakuna mfano na pesa za kuwalipa mishahara na posho zote zinatoka Hazina Tanganyika na sasa kuna pesa inatumika kwa wingi kudhoofisha ukawa na kuua CUF hizi pesa zote zingetumika kuleta maendeleo nina imani Tanganyika ingekuwa Nchi tajiri kuliko South Africa lakini kwa kuwa Zanzibar ni Wajanja kuliko Tanganyika wataendelea kuwachuna buzi huku wakiendelea kulalamikia kero za muungano mpaka siku ya mwisho miaka 1000 huko mbeleni.
 
kwa kifupi Zanzibar ni Wajanja mbele ya Tanganyika kwani wanawachuna buzi.
Sikubaliani na hoja ya kuchuna buzi. Muungano ni kama ndoa, kutoa matunzo, kulisha, kuvisha ni miongoni ni miongoni mwa majukumu ya ndoa, hivyo sio kweli Tanganyika anachunwa bali ni anawajibika.

Paskali
 
Sikubaliani na hoja ya kuchuna buzi. Muungano ni kama ndoa, kutoa matunzo, kulisha, kuvisha ni miongoni ni miongoni mwa majukumu ya ndoa, hivyo sio kweli Tanganyika anachunwa bali ni anawajibika.

Paskali
Kwa hiyo unamaanisha Tanganyika ni Mume na Zanzibar ni mke, hivyo Tanganyika "inawajibika" kutoa matunzo kwa mkewe?
 
Kwa hiyo unamaanisha Tanganyika ni Mume na Zanzibar ni mke, hivyo Tanganyika "inawajibika" kutoa matunzo kwa mkewe?
Muungano ni kama ndoa ya kizungu, hakuna mume wala mke, bali wote ni sawa kwa upande wa haki za ndoa, ila kwenye kutimiza wajibu, yule mwenye kingi, anachangia kingi na mwenye kidogo, anachangia kidogo.

Kwenye Muungano, Tanzania Bara ndio kubwa na ndio mwenye kingi, ndio maana tunawapa umeme bure, mishahara ya serikali, kugharimia elimu ya juu, kuwapa asilimia 4.5% ya misaada, kuwapatia ulinzi, kugharimia vyama, kugharimia muungano, etc.

Zanzibar kwa sababu ni ndogo, kazi yake ni kupokea tuu, kujitawala mambo yake ya ndani ila mtawala anapangiwa na mtoa pesa.

Kwenye mizania ya usawa, Tanzania bara na Tanzania Zanzibar zina hadhi sawa ndani ya Muungano ila zinawajibu tofauti, ila kwa nje ya Muungano na kimataifa, hakuna kitu kinachoutwa Zanzibar. Nchi ni moja tuu, JMT.

Paskali
 
Hivi wazanzibar wanamdai nani uhuru?
Wazanzibari wanadai uhuru ulochukuliwa na Tanzania bara au Tanganyika

Unadai uhuru
kwa wale wanao kandamiza Democracy
kwa wale wanao peleka jeshi na kutesa watu
kwa wale wanao wapangia uongozi
kwa wale wanoa zuwia wasijiunge na jumuiya ya kimataifa kama FIFA.OIC na nyingine
kwa wale wanao zuwia misaada isije Zanzibar
kwa wale wanao uwa elimu ya wazanzibari na kuwafelisha kwa makusudi
kwa wale wanao pandikiza chuki baina ya wa zanzibari
kwa wale walo ipindua Zanzibar iliyokua Huru (Uhuru wa Zanzibar 1963 10th dec)
kwa wale walo leta mungano batili na kubadilisha kila kitu

na menine
 
Sikubaliani na hoja ya kuchuna buzi. Muungano ni kama ndoa, kutoa matunzo, kulisha, kuvisha ni miongoni ni miongoni mwa majukumu ya ndoa, hivyo sio kweli Tanganyika anachunwa bali ni anawajibika.

Paskali
Ndoa hii ya dume Kwa dume , Ndio maana hakieleweki mambo hayako natural. Yako artificial
 
Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.

Hizo ni fikra za kanisa ,Iwacheni Zanzibar iwe huru msitese watu . Mnacho kisiwa cha mafia hata maji ya kunywa wanasaidiwa Na Islamic relief kuchimba visima, nyinyi mumeshindwa
 
Zanzibar ni mlango wa Kanisa ilipata Uhuru wake siku ile biashara ya utumwa ilipohitimishwa na soko la watumwa wanyonge kuwekwa wakfu kuwa Kanisa la Mungu!
kakupiga changa la Moto kardinali pengo. .kanisa ndio limepika biashara ya utumwa
 
Nimepokea ujumbe ufuatayo kutoka kwa Bwana Salim Said Rashid, Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapiduzi, Januari 1964 Zanzibar:

MWITO KWA WAZANZIBARI

Kwa muda mrefu mpaka hivi sasa hali halisi ya Zanzibar kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni hairidhishi. Wazanzibari walilazimika kustahmili kutokana na matumizi ya jeshi na polisi kwa sababu za kisiasa wameogopa kuyatetea maslahi ya nchi yao tajiri yenye historia ya takriban miaka elfu mbili kama ilivoyo andikwa na mwana historia wa Kigreeki baada ya kufanya ziara ya Zanzibar wakati huwo. Hali hii ambayo ilianza tarehe 26 April 1964 ulivyo asisiwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mwalimu Nyerere na kuifanya Zanzibar isite kua taifa huru Mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Ikawa kikatiba haina mamlaka ya mwisho ya kufanya maamuzi ya mambo yake ya ndani na nje kuliko ilivyokua wakati ikitawaliwa na mkoloni wa Kingereza. Baada ya shinikizo kutoka mashirika ya kimataifa na khusuusan mataifa ya magharibi na madai ya Wazanzibari ya mfumo wa vyama vingi hapa Zanzibar umeanzishwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Kwa bahati mbaya tangu kuanzishwa na mkoloni wa Kingereza utaratibu wa vyama vingi vya kisiasa 1957 Zanzibar imeingia katika migogoro ya kisiasa baina ya vyama viwili na kuyapa fursa mataifa ya kigeni kama vile Tanganyika kuwa na uwezo wa kuifutia madaraka na mamlaka Zanzibar kama ilivyo fanya Hati ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ambao umeleta madhara makubwa kwa vile Zanzibar imesita kuwa na uwezo kamili wa kujitawala kama inavyo stahili. Wakati umefika wa kila Mzanzibari kutathmini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutazama athari mbaya kwa Wazanzibari na taifa lao. Kwa vile Muungano haukupata ridhaa ya Wazanzibari ambao ili bidi washirikishwe katika suala muhimu kama hili la kupoteza mamlaka ya nchi yao Wazanzibari waiombe Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iitishe kwa mujib ya sheria ya Zanzibar kura ya maoni mapema iwezekanavyo bila ya kujali itikadi za vyama vya kisiasa endapo wanataka kuendelea na Muungano au wanapendelea Uhuru wa Zanzibar.

Salim Said Rashid, Katibu wa kwanza wa Baraza la Mapinduzi, January 1964
 

Attachments

  • IMG-20161210-WA0008.jpg
    IMG-20161210-WA0008.jpg
    22.1 KB · Views: 48
Mapinduzi ya Zanzibar yalipata ridhaa ya Wazanzibari? Serikali halali ya Zanzibar ni ile ya uhuru wa 10 Disemba 1963. Mapinduzi yalikuwa dhidi ya serikali halali kwa mujibu wa sheria.
 
. Mimi ni Mtanganyika lakini kwa hayo uliyosema u muongo wa kutupwa.

Katika zaidi ya miaka 2000 ya historia ya Zanzibar ni lini waliuana na kuchinjana? Zaidi ya mwaka 1964 kwa mapinduzi yaliyopangwa huko kwetu?
Mimi ni mtanganyika pia kama ww dadangu... na pia nlikua nikifikiri kama ww.. kwamba ukisoma historia hv visiwa vilikuepo.. na hata kufikia hio extent ya kuwa na empire kama historia inavoonesha... iweje leo nje ya the so called Muungano kusiwe na zanzibar..lakn walivokua wenyewe everything seemed to be working out perfectly fine for them.. walieza kua na umeme in the early 1900z, jumba la mwanzo lenye lift and running water.. na mengi mengineo.. leo kuungana nasi miaka khamsini wakisema watoke ndo wasambaratike? i really doubt this hasa kwa hawa jamaa zetu maana wao popote watakapo kua duniani au hata huku bara they only identify themselves as zanzibariz.. unakumbuka enzi za utoto.. yule rafiki yako mtakae korofishana.. siku mkija patana mnakua ni better friends than ever before.. Never under estimate these guys... mfano mwengine mdogo tu ni during the whole process of architecting the 2010 ammendments za katiba yao..
 
. Mimi ni Mtanganyika lakini kwa hayo uliyosema u muongo wa kutupwa.

Katika zaidi ya miaka 2000 ya historia ya Zanzibar ni lini waliuana na kuchinjana? Zaidi ya mwaka 1964 kwa mapinduzi yaliyopangwa huko kwetu?
Dada Faiza. Huko nyuma Zanzibar haikuwa moja. Pemba na Unguja zilikuwa ni nchi. Waliunganishwa na wakoloni. Hakuna wakati Wapemba na waunguja waliwahi kuwa pamoja. Leo muungano ukivunjika, ujue Maalim Seif hatokubalika Unguja. Ataambiwa akatawale Pemba. Hapo patakuja Upemba na Uunguja. Na ubaguzi huo ndio sababu ya mgawanyiko wa kisiasa (Pemba ikiwa ngome ya CUF na Unguja ikiwa ngome ya CCM). Nje ya muungano, watauana milele, tena na haya mafuta!
 
Dada Faiza. Huko nyuma Zanzibar haikuwa moja. Pemba na Unguja zilikuwa ni nchi. Waliunganishwa na wakoloni. Hakuna wakati Wapemba na waunguja waliwahi kuwa pamoja. Leo muungano ukivunjika, ujue Maalim Seif hatokubalika Unguja. Ataambiwa akatawale Pemba. Hapo patakuja Upemba na Uunguja. Na ubaguzi huo ndio sababu ya mgawanyiko wa kisiasa (Pemba ikiwa ngome ya CUF na Unguja ikiwa ngome ya CCM). Nje ya muungano, watauana milele, tena na haya mafuta!


Hiyo historia ya wapi kuwa Pemba ni nchi na Unguja ni nchi? Tupe darsa lenye ushahidi na vielelezo, utatufunguwa wengi.

Nijuavyo Zenj empire ilikuwa kama nilivyoiweka ramani huko juu. Umeiona?
 
Dada Faiza. Huko nyuma Zanzibar haikuwa moja. Pemba na Unguja zilikuwa ni nchi. Waliunganishwa na wakoloni. Hakuna wakati Wapemba na waunguja waliwahi kuwa pamoja. Leo muungano ukivunjika, ujue Maalim Seif hatokubalika Unguja. Ataambiwa akatawale Pemba. Hapo patakuja Upemba na Uunguja. Na ubaguzi huo ndio sababu ya mgawanyiko wa kisiasa (Pemba ikiwa ngome ya CUF na Unguja ikiwa ngome ya CCM). Nje ya muungano, watauana milele, tena na haya mafuta!
Hiyo ni propaganda ya kanisa .hivi ni vita vya kanisa dhidi ya uislamu Zanzibar
 
Mimi ni mtanganyika pia kama ww dadangu... na pia nlikua nikifikiri kama ww.. kwamba ukisoma historia hv visiwa vilikuepo.. na hata kufikia hio extent ya kuwa na empire kama historia inavoonesha... iweje leo nje ya the so called Muungano kusiwe na zanzibar..lakn walivokua wenyewe everything seemed to be working out perfectly fine for them.. walieza kua na umeme in the early 1900z, jumba la mwanzo lenye lift and running water.. na mengi mengineo.. leo kuungana nasi miaka khamsini wakisema watoke ndo wasambaratike? i really doubt this hasa kwa hawa jamaa zetu maana wao popote watakapo kua duniani au hata huku bara they only identify themselves as zanzibariz.. unakumbuka enzi za utoto.. yule rafiki yako mtakae korofishana.. siku mkija patana mnakua ni better friends than ever before.. Never under estimate these guys... mfano mwengine mdogo tu ni during the whole process of architecting the 2010 ammendments za katiba yao..

You are 100% right.

Sijakutana na Mzanzibari popote duniani anaejitambulisha kama Mtanzania. Wote, awe Mpemba awe Muunguja wanajitambulisha kama Wazanzibari.
 
Hii habari ni ya lini? Maana sijaona mantiki Wala maudhui.. Anadai kwa nani huo Uhuru? Na Zanzibar anayoiita Tajiri nilikuwa ni Mali ya sultan so atueleze katumwa na sultan ? Zanzibar mwaka 1964 isingeachwa iendelezwe na warafi Wa madaraka wakiuana kila siku na Dunia ikae kimya... Huyo sultan ndie mwenye haki ya kudai Uhuru kutoka Tanganyika na sio lizembe lolote vivu la lenye chuki na pia aelewe kuwa Sultan hatoweza tena kurejea uarabu unamnyima sifa

Mkuu, Umeyasiki yaliyotokea Gambia,Zanzibar yalitokea kama yaliyotokea,matatizo makubwa tuliyonayo waafrika ni kutoukubali ukweli,maamuzi yetu yanasukumwa na hisia kuliko uhalisia.

Hizi stori ulizoandika hapo juu ni nyimbo za propaganda ya kila mwanasiasa asieitakia mema Zanzibar,wazanzibari walikuwa wanaziamini hizi propaganda kuwa sultani atarudi zanzibar,bahati nzuri wazanzibari wa leo wanaona hizi ni porojo tu,kwasababu hiyo ndio iliyowafanya wampe kura nyingi Seifu Sharifu..
 
You are 100% right.

Sijakutana na Mzanzibari popote duniani anaejitambulisha kama Mtanzania. Wote, awe Mpemba awe Muunguja wanajitambulisha kama Wazanzibari.
Unajitambulisha huku passport yako imeandikwa Tanzania ?Ni uwehu.. Mbona watu Wa kilwa walikuwa na Dora yao kina Dau hawafanyi uwehu huo! Tuna kina Rage hawajitambulishi kama wasomali wakiwa nje ya nchi... Watu Wa nje hawatambui kwa maneno ya mdomo wanaangalia paper huo ujinga mtadanganywa nyie tu sababu mu wajinga
 
Back
Top Bottom