Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,968
- 132,597
Mkuu Pochilako, uko very right kwa sababu kila mtu has his/her own opinion. Watu tunatofautiana exposure, huwezi kujenga a smart city mahali ambapo kuna mji tayari unless ubomoe kila kilichopo kama Kigamboni City kila kilichopo kinabomolewa, panasawazishwa ndipo mji mpya unajengwa. Njoo uone Seven Eleven pale Kawe.Suala la ilongero kuwa makao makuu ya wilaya kwa mtazamo wangu ulizingua
Paskali