Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Mwanamapinduzi adai Uhuru Zanzibar

Msameheni bure Bwana Salim Said Rashid, ambaye ni Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapiduzi Zanzibar, baada ya yale Maponduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, atakuwa amepoteza kumbukumbu due to old age, hivyo atakuwa anakabiliwa na tatizo la highest state of mind incapacitation, hivyo kupoteza kumbukumbu kuwa Zanzibar ilipata uhuru wake December 10, 1963 kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Hata hivyo huyu Mzee yuko very right kuwa Wanzanzibari hawakuulizwa, wala muungano haukuridhiwa kwa upande wa Zanzibar, yaani ratification process ilifanyika kwa upande mmoja tuu wa muungano huku bara, ila hata bila ya ratification, bado muungano uliridhiwa not expressly by ratification but impliedly by performance.

Muungano ni kama ndoa ili iwe ni ndoa halali, lazima ndoa hiyo ifungwe kwa ridhaa ya wanandoa husika.

Ikitokea ukambaka mwanamke na kumlazimisha kuwa mkeo, ndoa hiyo inakuwa sio ndoa batili,(void), bali ni ndoa batilifu (voidable), ambayo inaweza kuhalalishwa kugeuka halali au kubatilishwa kugeuka batili hivyo kuwa ni void ab initio.

Mwanamke akibakwa akawekwa mateka kinyumba, atahesabika anaishi kwenye dhana ya ndoa (presumption of marriage) na akitoa huduma zote za kindoa ikiwemo consumation bila kupinga, atahesabiwa ameridhia kubakwa kule, hata bila sherehe ya ndoa,hata bila ahadi ya ndoa ya kusema ndio, atahesabika yuko kwenye ndoa halali, ambapo uhalali wa ndoa hiyo iliyoanzishwa kwa kubakwa ni performance ya ndoa hiyo.

Vivyo hivyo ndivyo huu muungano wetu ulivyo, japo Zanzibar haikuridhia muungano huu expressly by ratification, lakini imekuwa ukivitekeleza vipengele vya muungano huu bila kipingamizi kwa kipindi cha miaka 52 sasa, hivyo kuhesabika imeridhia impliedly by performance.

Unaweza kunisoma zaidi hapa

https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-zanzibar-haikuridhia-muungano-ina-maana-gani.
https://www.jamiiforums.com/threads...chi-halali-kisheria-de-jure-bali-ni-de-factor.

https://www.jamiiforums.com/threads...ano-kilichopo-ni-makubaliano-tuu-ya-muungano?!.

Paskali
Tanzania ni jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Hayo mengine ni furahisha genge tu!
 
Nimepokea ujumbe ufuatayo kutoka kwa Bwana Salim Said Rashid, Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapiduzi, Januari 1964 Zanzibar:

MWITO KWA WAZANZIBARI

Kwa muda mrefu mpaka hivi sasa hali halisi ya Zanzibar kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni hairidhishi. Wazanzibari walilazimika kustahmili kutokana na matumizi ya jeshi na polisi kwa sababu za kisiasa wameogopa kuyatetea maslahi ya nchi yao tajiri yenye historia ya takriban miaka elfu mbili kama ilivoyo andikwa na mwana historia wa Kigreeki baada ya kufanya ziara ya Zanzibar wakati huwo. Hali hii ambayo ilianza tarehe 26 April 1964 ulivyo asisiwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mwalimu Nyerere na kuifanya Zanzibar isite kua taifa huru Mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Ikawa kikatiba haina mamlaka ya mwisho ya kufanya maamuzi ya mambo yake ya ndani na nje kuliko ilivyokua wakati ikitawaliwa na mkoloni wa Kingereza. Baada ya shinikizo kutoka mashirika ya kimataifa na khusuusan mataifa ya magharibi na madai ya Wazanzibari ya mfumo wa vyama vingi hapa Zanzibar umeanzishwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Kwa bahati mbaya tangu kuanzishwa na mkoloni wa Kingereza utaratibu wa vyama vingi vya kisiasa 1957 Zanzibar imeingia katika migogoro ya kisiasa baina ya vyama viwili na kuyapa fursa mataifa ya kigeni kama vile Tanganyika kuwa na uwezo wa kuifutia madaraka na mamlaka Zanzibar kama ilivyo fanya Hati ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ambao umeleta madhara makubwa kwa vile Zanzibar imesita kuwa na uwezo kamili wa kujitawala kama inavyo stahili. Wakati umefika wa kila Mzanzibari kutathmini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutazama athari mbaya kwa Wazanzibari na taifa lao. Kwa vile Muungano haukupata ridhaa ya Wazanzibari ambao ili bidi washirikishwe katika suala muhimu kama hili la kupoteza mamlaka ya nchi yao Wazanzibari waiombe Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iitishe kwa mujib ya sheria ya Zanzibar kura ya maoni mapema iwezekanavyo bila ya kujali itikadi za vyama vya kisiasa endapo wanataka kuendelea na Muungano au wanapendelea Uhuru wa Zanzibar.

Salim Said Rashid, Katibu wa kwanza wa Baraza la Mapinduzi, January 1964

Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.
 
Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.
. Mimi ni Mtanganyika lakini kwa hayo uliyosema u muongo wa kutupwa.

Katika zaidi ya miaka 2000 ya historia ya Zanzibar ni lini waliuana na kuchinjana? Zaidi ya mwaka 1964 kwa mapinduzi yaliyopangwa huko kwetu?
 
Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.
hebu tupe deondoo, lini wazanzibari walichinjana wao kwa wao?
maana siku ya mapinduzi ukiwaondoa wale vijana wachache (makomandoo)wa Abraham Babu waliobakiwa ni vijana kutoka huku bara ndio waliomwaga damu kule zanzibar.
Wazanzibari walishindwa hata kufanya chochote japokuwa wanajisifu hadi leo wao ndio waliopindua
 
Zanzibar ilitawaliwa ni muengereza ndio maana jemshid alikimbilia uengereza hakwenda uarabuni
Wahaini kina karume mission yao ingefeli tungekuwa tunawaongelea walivyo nyongwa tu kwa uhaini
 
Msameheni bure Bwana Salim Said Rashid, ambaye ni Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapiduzi Zanzibar, baada ya yale Maponduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, atakuwa amepoteza kumbukumbu due to old age, hivyo atakuwa anakabiliwa na tatizo la highest state of mind incapacitation, hivyo kupoteza kumbukumbu kuwa Zanzibar ilipata uhuru wake December 10, 1963 kutoka kwa wakoloni Waingereza.

Hata hivyo huyu Mzee yuko very right kuwa Wanzanzibari hawakuulizwa, wala muungano haukuridhiwa kwa upande wa Zanzibar, yaani ratification process ilifanyika kwa upande mmoja tuu wa muungano huku bara, ila hata bila ya ratification, bado muungano uliridhiwa not expressly by ratification but impliedly by performance.

Muungano ni kama ndoa ili iwe ni ndoa halali, lazima ndoa hiyo ifungwe kwa ridhaa ya wanandoa husika.

Ikitokea ukambaka mwanamke na kumlazimisha kuwa mkeo, ndoa hiyo inakuwa sio ndoa batili,(void), bali ni ndoa batilifu (voidable), ambayo inaweza kuhalalishwa kugeuka halali au kubatilishwa kugeuka batili hivyo kuwa ni void ab initio.

Mwanamke akibakwa akawekwa mateka kinyumba, atahesabika anaishi kwenye dhana ya ndoa (presumption of marriage) na akitoa huduma zote za kindoa ikiwemo consumation bila kupinga, atahesabiwa ameridhia kubakwa kule, hata bila sherehe ya ndoa,hata bila ahadi ya ndoa ya kusema ndio, atahesabika yuko kwenye ndoa halali, ambapo uhalali wa ndoa hiyo iliyoanzishwa kwa kubakwa ni performance ya ndoa hiyo.

Vivyo hivyo ndivyo huu muungano wetu ulivyo, japo Zanzibar haikuridhia muungano huu expressly by ratification, lakini imekuwa ukivitekeleza vipengele vya muungano huu bila kipingamizi kwa kipindi cha miaka 52 sasa, hivyo kuhesabika imeridhia impliedly by performance.

Unaweza kunisoma zaidi hapa

https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-zanzibar-haikuridhia-muungano-ina-maana-gani.
https://www.jamiiforums.com/threads...chi-halali-kisheria-de-jure-bali-ni-de-factor.

https://www.jamiiforums.com/threads...ano-kilichopo-ni-makubaliano-tuu-ya-muungano?!.

Paskali
Umefafanua vizuri kwa wasioilewa Historia ya Zanzibar.
 
Tanzania ni jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Hayo mengine ni furahisha genge tu!
Naunga mkono hoja kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watson wa Zanzibar!, ambazo zote mbili kwa sasa hazipo tena baada ya kuungana na kuwa ni nchi moja, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye sehemu kuu mbili, and Tanzania Bara na Tanzania Visiwani/Tanzania Zanzibar.
Paskali
 
Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.
Ukitaka kumuuwa Mbwa kiurahisi mpe jina Baya.

Yaani watu wana roho mbaya hadi nashindwa vumilia, hivi ni kwanini jamani viumbe vinakuwa naroho dhaifu ya dhulma, na chuki kwa viumbe wengine, nikwanini lakini, mbona wote tumeumbwa kuumia na kupenda, kuna shida gani kiumbe mwenzako akikwambia naumia hata kama munaishi chumba kimoja, viumbe sisi ni waajambu kushinda wanyama, wao wanaoneana huruma hata km wanamajina tofauti, nashindwa elewa kwanini viumbe sisi tuna mambo yaajabu kisi cha kuto amini.

Yaani tunaishi kwa njia ya Mmoja anahaki na Mwengine hana, na wala hana haki ya kuidai kama vile ni milele tunaishi na kusahau kumbe ni maisha ya kuazimwa, watu wana viburi na kejeli hadi unashangaa.

Hii ndo inanifanya niamini kuwa Munguu yupo, coz nature ya dunina kuna viumbe dhaifu na wababe, jee Mungu katuleata tuje tambiana o kuwaonea wale wasio weza na wengine wasiwe na nafac ya kufanya lolote, jibu ni hapana, kama umepewa nguvu au kiburi basi jua kunasehemu utahitajika uvitumie ila sio kwa kumuadhibu mwenzio asie weza.
 
Nimepokea ujumbe ufuatayo kutoka kwa Bwana Salim Said Rashid, Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapiduzi, Januari 1964 Zanzibar:

MWITO KWA WAZANZIBARI

Kwa muda mrefu mpaka hivi sasa hali halisi ya Zanzibar kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni hairidhishi. Wazanzibari walilazimika kustahmili kutokana na matumizi ya jeshi na polisi kwa sababu za kisiasa wameogopa kuyatetea maslahi ya nchi yao tajiri yenye historia ya takriban miaka elfu mbili kama ilivoyo andikwa na mwana historia wa Kigreeki baada ya kufanya ziara ya Zanzibar wakati huwo. Hali hii ambayo ilianza tarehe 26 April 1964 ulivyo asisiwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mwalimu Nyerere na kuifanya Zanzibar isite kua taifa huru Mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Ikawa kikatiba haina mamlaka ya mwisho ya kufanya maamuzi ya mambo yake ya ndani na nje kuliko ilivyokua wakati ikitawaliwa na mkoloni wa Kingereza. Baada ya shinikizo kutoka mashirika ya kimataifa na khusuusan mataifa ya magharibi na madai ya Wazanzibari ya mfumo wa vyama vingi hapa Zanzibar umeanzishwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Kwa bahati mbaya tangu kuanzishwa na mkoloni wa Kingereza utaratibu wa vyama vingi vya kisiasa 1957 Zanzibar imeingia katika migogoro ya kisiasa baina ya vyama viwili na kuyapa fursa mataifa ya kigeni kama vile Tanganyika kuwa na uwezo wa kuifutia madaraka na mamlaka Zanzibar kama ilivyo fanya Hati ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ambao umeleta madhara makubwa kwa vile Zanzibar imesita kuwa na uwezo kamili wa kujitawala kama inavyo stahili. Wakati umefika wa kila Mzanzibari kutathmini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutazama athari mbaya kwa Wazanzibari na taifa lao. Kwa vile Muungano haukupata ridhaa ya Wazanzibari ambao ili bidi washirikishwe katika suala muhimu kama hili la kupoteza mamlaka ya nchi yao Wazanzibari waiombe Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iitishe kwa mujib ya sheria ya Zanzibar kura ya maoni mapema iwezekanavyo bila ya kujali itikadi za vyama vya kisiasa endapo wanataka kuendelea na Muungano au wanapendelea Uhuru wa Zanzibar.

Salim Said Rashid, Katibu wa kwanza wa Baraza la Mapinduzi, January 1964
Hivi huyu Salim Rashid hana mdomo hadi asemewe na watu wa CHADEMA?

Swali (kwake, si kwa CHADEMA): unapojitambulisha kuwa wewe ni Katibu wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi, ni baraza gani hilo? Kama kumbe hutaki mapinduzi kuwaondoa Waarabu unaodai walitawala "tangu miaka 2,000", wanamapinduzi Mzee Karume, Mzee Kassim Hanga, Mzee Halima na wengineo walikupaje hicho cheo?

Kwa nini hukuwaomba "uhuru" wako wakati ukuwa "Katibu wa Kwanza" wa Baraza la Mapinduzi?
Bill Marconi
 
. Mimi ni Mtanganyika lakini kwa hayo uliyosema u muongo wa kutupwa.

Katika zaidi ya miaka 2000 ya historia ya Zanzibar ni lini waliuana na kuchinjana? Zaidi ya mwaka 1964 kwa mapinduzi yaliyopangwa huko kwetu?

Uwongo ni imani yako inajulikana. Na ili uabudu lazima ukatae ukweli. Nani hakujui?
 
Zanzibar ni mlango wa Kanisa ilipata Uhuru wake siku ile biashara ya utumwa ilipohitimishwa na soko la watumwa wanyonge kuwekwa wakfu kuwa Kanisa la Mungu!
 
naona shauku ya UHURU wa Zanzibar inazidi kupanda,
Singapor mpya iliyokaliwa na shetani mweusi mwenye roho ya kwanini ?
 
hata mimi sioni faida yoyote ya huu muungano, kama vp uvunjike tu kila nchi iangalie mambo yake.
Muungano ni gharama kwa Tanganyika kwa sababu walailea Zanzibar wanalipa mishahara utitiri wa watumishi wa Zanzibar wanawalisha,wanawalinda na sasa inatumika Nusu ya pato la Taifa kumpatia Lipumba avuruge na kuidhoofisha ukawa ili CUF ikose nguvu,pesa zinazotumika juu Zanzibar endapo zingesalia Tanganyika kisha zikatumika vizuri Tanzania ingekuwa Nchi tajiri yenye kila kitu kama Oman.
 
Hii habari ni ya lini? Maana sijaona mantiki Wala maudhui.. Anadai kwa nani huo Uhuru? Na Zanzibar anayoiita Tajiri nilikuwa ni Mali ya sultan so atueleze katumwa na sultan ? Zanzibar mwaka 1964 isingeachwa iendelezwe na warafi Wa madaraka wakiuana kila siku na Dunia ikae kimya... Huyo sultan ndie mwenye haki ya kudai Uhuru kutoka Tanganyika na sio lizembe lolote vivu la lenye chuki na pia aelewe kuwa Sultan hatoweza tena kurejea uarabu unamnyima sifa
Muungano ufe kila mtu akae kwake au kama vp wafanye kama hongkong na Taiwan yaani Zanzibar ijiendeshe kwa mapato yake ijigharamie kila kitu kwa pesa zake kuliko ilivyokuwa sasa kila kitu kinatoka Hazina Dsm .
 
Kwani Zenj wakiruhusiwa kuwa na kura ya maoni kunatatizo gani haswa kama ni kweli kuwa wao (yaani ile nchi nyingine) hawakuridhia au hawajaridhia muungano? Hivi mpaka wamebadili katiba na kujiita nchi message bado haijatufikia? Na hii ni CCM + CUF ndani ya Baraza la Wawakilishi na kuungwa mkono na siyo chini ya theluthi mbili ya wazanzibari. Tunaitwa wakoloni weusi (watanganyika bila kujalisha chama) bado tunang'ang'ana.
Zanzibar wana wimbo wao wa Taifa,bendera,baraza la wakilishi bunge lao,wakuu wa mikoa na wilaya wao hata baadhi ya vikosi vya kijeshi, na hakuna Mbunge wa Tanganyika amepewa uwaziri Zanzibar na hakuna mtu wa Tanganyika anaruhusiwa kumiliki Ardhi Zanzibar,yaani cha Tanganyika ni cha Wote lakini cha Zanzibar ni cha mzanzibar tu, Huu ni Aina ya Muungano wa kijinga jinga muungano unaowanufaisha Upande mmoja kwa maana Zanzibar kwani wao wanavuna mapesa mengi toka Hazina ya Tanganyika,ipigwe kura ya maoni kila mtu aishi kwake muungano ufe pengine Tanganyika itapiga hatua pindi wakijivua mzigo wa kuilea kuibembeleza na kuilinda Zanzibar.
 
Honestly speaking nimechoka malalamiko yasiyoisha. Hivi ni kitu gani Wazanzbar wanataka kama siyo kuchinjana wao kwa wao, kubaguana kwa misingi ya asili na dini na hatimaye kutesa wanawake na watoto wasiokuwa na hatia?

Ninaona chokochoko hizi ni tamaa za watu wachache ambao hata ukiwauliza kile wnachokitafuta hawakujui zaidi ya visasi na matamanio yasiyohalisi.

Mliambiwa marekebisho ya katiba mkavurunda. Serikali tatu ilikuwa ni njia sahihi na yenye amani iliyo na madhara kidogo kuliko serikali ya kibaguzi wanayoitafuta. Bila serikali ya Muungano hakuna Zanzibar huru kwa wote. Hili mkae mkilijua.

Kwa heri.
Muungano ukifa kila mmoja akae kwake hakuna vita wataishi kwa Amani usiwe na shaka
 
Naunga mkono hoja kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watson wa Zanzibar!, ambazo zote mbili kwa sasa hazipo tena baada ya kuungana na kuwa ni nchi moja, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye sehemu kuu mbili, and Tanzania Bara na Tanzania Visiwani/Tanzania Zanzibar.
Paskali
Mkuu wazo la kuwa Nchi moja ndilo lilikuwa Lengo kuu la muungano na Nyerere na karume walitaka iwe hivyo japo karume alimgeuka Nyerere baadae lakini matokeo yanajulikana, Yale malengo ya muungano sasa hayapo baada ya Zanzibar kuwazidi Akili Tanganyika nikiwa na maana kuwa Zanzibar wamejiongeza zaidi kuliko Tanganyika kwa sababu wao wana baraza lao serikali yao isiyokuwa na watanganyika lakini pesa za mishahara zinalipwa na Hazina ya Tanganyika,kwa kifupi Zanzibar ni Wajanja mbele ya Tanganyika kwani wanawachuna buzi na bado wanapaza sauti za malalamiko bila kuchoka huu ni Aina ya muungano wa Ajabu uliosalia Duniani.
 
Back
Top Bottom