MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

mzizimkavu.

Nyanidume, Mohammed Said, MziziMkavu, kahtan, bila kujisahau mimi mwenyewe... siwezi kuwataja wote ila memba wote wa JF nawakubali.


MziziMkavu anatajwa kila kona
Ninawapendeni nyote njoo kwenye jukwaa la Jf Doctor niwapeni dawa zangu mpya za kutibu vidonda vya tumbo,Dawa za ugonjwa Kensa,Dawa za ugonjwa malaria na Vitamini mwilini asanteni sana mubarikiwe mbinguni ameen.
 
Interaction makes meaning to those who interacts and they can change those attached meanings as they keep interacting!!!!!!

Failure to attach meaning is an indicator that you are not among them...suit youself! !!!!!!!!


hahaaa kama ni mwelewa he will surely understand this
 
Mbona mimi hakuna alienitaja? Au mchango wangu hauonekani?
 
Back
Top Bottom