MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

Mwishoni tutajikuta tumewataja wote humu jamvini, na mwingine ataleta uzi ni mwana jf yupi anakuboa kitu ambacho si sahii kabisa sababu hilo sio lengo la kuanzishwa jf, so cha msingi we are all one ila tunabadilishana mawazo. kipi unajua kipi skijui na vitu kama hivyo, kwenye majukwaa yote, na we under the same sun, so mtu unamkubali, hamkubali baki nalo moyoni! na ndo maana kuna PM, wana jf tusiingie kwenye si-hasa pls!
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Mwishoni tutajikuta tumewataja wote humu jamvini, na mwingine ataleta uzi ni mwana jf yupi anakuboa kitu ambacho si sahii kabisa sababu hilo sio lengo la kuanzishwa jf, so cha msingi we are all one ila tunabadilishana mawazo. kipi unajua kipi skijui na vitu kama hivyo, kwenye majukwaa yote, na we under the same sun, so mtu unamkubali, hamkubali baki nalo moyoni! na ndo maana kuna PM, wana jf tusiingie kwenye si-hasa pls!
hapana jamaa ni mtazamo wake,na hiyo ya mwana jf anaekuboa naitarajia soon,japo nahisi nitatajwa sana!me sifungamani
 
Sio suala la umaarufu ni kuona nini unaandika na vipi unagusa wanajamvi wenzako!!!!
Hutaki unaachana nao tu kiroho safi

asepe zake huko nahisi hajatajwa ndio maana

unajua kuna ile ya kusifia kwamba fulani ye huwa anajitahidi comments mada zake na it is understandable
 
Back
Top Bottom