MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

asepe zake huko nahisi hajatajwa ndio maana

unajua kuna ile ya kusifia kwamba fulani ye huwa anajitahidi comments mada zake na it is understandable

Kabisaaa kwa nini kukwepa evaluation???!!
Hata maofisin si tunafanyiwa hii kitu ,hata mitaani tuko ranked fulani ,mcheshi,hawezi kukupita na gari,jamaa ukimtokea na shida hakubwagi na kama hayo ni sehemu ya maisha mtu akubali au akatae!!!!!
 
kuna member mmoja; waziri, alijitambulisha wakati wa kujiunga lakini sijamsoma tena mpaka leo. pamoja na kuwa kuna inshu nyingi sana humu zinamuhusu.

Guess who!
 
wana jf naomba tubainishe ni nani unakubali hoja zake humu jukwaani. Tuchangie bila kujali itikadi za kisiasa

Binafsi inategemea na jukwaa ama topic. Nimeona humu kuna nguli wa dini, politics, education, sports, leisure, language, law, technology, health and so many others.
Ila SHUKRANI ZANGU ZA DHATI ZIMWENDEE MKUU "MONEY STUNNA & king'asti" kwenye jukwaa la Business & Entrepreneurship. Tunavyoongea hapa najiandaa na safari ya Guanzhou, Pattaya na Bangkok kuchangamkia fursa na hii yote ni kutokana na hao watu wawili. Nisingeweza kuchangamkia hizi fursa kama sio hao watu wawili. Mungu awazidishie
 
Wengi wametajwa naongeza na traceman😆

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
nyumbakubwa-huyu anaongea kama mwanamke kamili aliyekamilika,wanaume wote wangependa kuwa na mke wa mtizamo wake,
gezaulole-anavyowakimbiza wakenya na majivuno yao utampenda,
nyani ngabu na kiranga-hawa ni mabingwa wa kusimamia misimamo yao,hawatikisiki ktk kutetea hoja zao na wanachokiamini,
kaunga na ashadii-wadada wenye staha,wana busara za kweli na hakika,kuna wakati natamani ningekuwa nafahamiana nao in the real world sio ki-jf,
asprin-anapenda sana kukagua vibinti vinapoingia jf,siku hizi ananichekesha sana na mikwara yake ya kubadili dini,hata hapa anaweza kuja na kusema nisingemtaja angebadili dini!lol,
the boss-huyu jamaa yeye ni mfalme wa kuongea maneno ambayo wanawake wanapenda kusikia,huyu jamaa ktk dunia ya kweli atakuwa hataree sana kwa wadada,
nzi-shabiki nguli wa man utd,watu wote watakimbia uzi wa man utd yeye atabaki pale daima
emt-jamaa ukisoma hoja zake utafikiri unasoma kitabu cha kitaaluma,nakukubali sana bro
mzizimkavu-amejaa maarifa mengimengi ya kila aina kila pande
 
Binafsi inategemea na jukwaa ama topic. Nimeona humu kuna nguli wa dini, politics, education, sports, leisure, language, law, technology, health and so many others.
Ila SHUKRANI ZANGU ZA DHATI ZIMWENDEE MKUU "MONEY STUNNA & king'asti" kwenye jukwaa la Business & Entrepreneurship. Tunavyoongea hapa najiandaa na safari ya Guanzhou, Pattaya na Bangkok kuchangamkia fursa na hii yote ni kutokana na hao watu wawili. Nisingeweza kuchangamkia hizi fursa kama sio hao watu wawili. Mungu awazidishie

asante kushukuru
 
Kuna dada mmoja hivi huwa tunakutana kwenye jukwaa la wakubwa ila leo sijamwona kule.
 
Lara1.....uwiii popote ulipo!! msema ukweli wa maisha halisi.
 
Back
Top Bottom