MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

MwanaJF gani unapenda topics na comments zake?

wana jf naomba tubainishe ni nani unakubali hoja zake humu jukwaani. Tuchangie bila kujali itikadi za kisiasa

Kila jukwaa lina vichwa vyake maalumu, ila kuna watu wakikosekana humu JF inapwaya kimtindo. Binafsi kwa mambo ya kisiasa nawakubali sana mzee Nguruvi3 na wadau wenzake wa jukwaa la Great Thinkers. Kwenye michezo kule kuna akina Balantanda, Makoye Matale, Masuke. Kule MMU ndio usiseme wapo wengi tu. Chit chat ni Baba V na Arushaone na wale wengine kuwataja nitajaza nafasi....................ila kuna haka kajamaa watu8, kweli wapo nane maana kila sehemu kanafiti, sijajua tu kule jukwaa la wakubwa na dini kama huwa kanaingia hahahaaah!!
Wengine ni Globu, Ulimakafu na wakaribisha wageni.......lol. Na wewe mtoa mada pia upo katika wanaokubalika humu.
 
Last edited by a moderator:
..................ila kuna haka kajamaa watu8, kweli wapo nane maana kila sehemu kanafiti, sijajua tu kule jukwaa la wakubwa na dini kama huwa kanaingia hahahaaah!!

Hahahah haka kajamaa huwa kanafika jukwaa la dini, ila hilo la wakubwa hakapendi kabisa kufika huko.

Kwema mkuu?

Wengine ni Globu, Ulimakafu na wakaribisha wageni.......lol. Na wewe mtoa mada pia upo katika wanaokubalika humu.

Long live mabawaba wote wa JF including you bro
 
Hahahah haka kajamaa huwa kanafika jukwaa la dini, ila hilo la wakubwa hakapendi kabisa kufika huko.

Kwema mkuu?



Long live mabawaba wote wa JF including you bro

Kwema kabisa mkuu.
 
Aise yaani mimi simo kwenye hiyo list !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mh! Huyu jamaa ni shemeji yangu lakini akishakula nyama ya yule mdudu kaa nae mbali hua hachagui neno.

Tatizo shemeji tunatofautiana kwenye misimamo.
Kama ujuavyo mimi misimamo ya kiffala huwa sinaga.
Nyie mkishavaa zile suruali zenu fupi kama pedo basi mnakuwa kama bruce-lee vile!
Kuua ua watu tu ndio mnachokujua na kumtaja allah!
 
Hapa naona kuna ile system NITAJE nami NIKUTAJE.

Leo naona umeongea point kidogo.
Toka nimekushauri uache kusoma madrasa na ukajiandikishe QT mabadiliko kidogo yameanza kujionesha.!
Halleluyaaaaa!
 
everybody hasa wale wanaolilea jukwaa(appears frequently)
 
Leo naona umeongea point kidogo.
Toka nimekushauri uache kusoma madrasa na ukajiandikishe QT mabadiliko kidogo yameanza kujionesha.!
Halleluyaaaaa!

Yaani shemeji tatizo lako ndo hilo,
Ukiona kichaka tu wataka kunya.
 
Yaani shemeji tatizo lako ndo hilo,
Ukiona kichaka tu wataka kunya.

Lakini QT imekusaidia shemeji uwongo mbaya!
Tumia muda huu kuwashauri wale wazee wa pedo kuwa madrasa inawaharibu.
Yesu akubariki shemeji!
Amina.
 
Umewasahau military experts/tacticians General Moshe dayan na Mossad007

Heshima kwao sana hawa wakuu [MENTION=68993]moshe dayan, mossad007 nawe mkuu apakak na wengine wote ambao kwa njia moja ama nyingine "covertly" au "overtly" mko point ila ndio hivyo tena ethics zinabana kutupia humu!!!!!!

Salute to you all!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom